Wadau mtu ambaye ameandika barua inayohusu jinsi ya kulipia service line nguzo mbili anicheki inbox ili na mm nidese barua hiyo nimfuate manager wa eneo langu. Maana huku nilipo kunapigo za kishamba, ambao hatupo kwenye mradi wa REA hatupati umeme hii siilewi kabisa yani tunabaguana hata kama...
Acha uvivu funga safari hadi mazizini kama wamehama ulizia wenyeji watakuelekeza. Jesca wapo wengi Tanganyika hata Raisi Magufuli anamtoto anaitwa Jesca pia.
Ukweli mm kama shabiki wa juve og sio juve Ronaldo nafurahishwa sana na Juventus jinsi inavyocheza kwa sasa. Juve inabidi icheze kama juve sio icheze kwa kuweka imani na kila kitu afanye Ronaldo ili siku akiondoka timu ianze kuhuzunika. Msimu uliopita kila mpira ilikua Ronaldo tu na kumpa...
Tuchunguzage familia tukioa sio kuwaza mbunye tu na mikatiko. ww kwenu Dar umekulia kistarabu unaenda kuoa au kuolewa na mtu wa mkoani familia yao ichunguze inandugu wangapi je ni nani kwenye familia yao mbeba majukumu yao. Ukiona wanajimudu then oa au olewa. Sasa ww ukiona haijiwezi oa uone...
Tatizo malezi malezi, kunafamilia nyingine chuki wanarithishwa toka kwa wazazi wao. Wazazi hawawafundishi upendo watoto wao na jinsi ya kusaidiana japo kunandugu wengine hawabebeki bora umsaidie hata paka au mbwa.
Ukweli njia pekee ya kuzuia maambukizi ni kukataza matumizi ya ARV tu. Hapa inabidi irudi ile chai Og ya kitambo kile. Maana kuna kundi la watu linaambukiza wenzao kwa kasi pale wanapojijua wamepata mambukizi.
Watu wanajidanganya. Yule hata akienda morna bar ya croatia hapati namba. Wenzake wajanja wakiona upepo umekaza NBA wanakimbilia ulaya watambe hata Euroleague ili warudi Nba. Ulaya kipindi hiki wanaanza kukipa kipaumbele kikapu. Marekani ni kugumu hao maMVP wenyewe hawachukui back 2 back kama...
Daaaaah Kuna demu aliniambia nikampige show ya kibabe leo, ila nimeona huu uzi nimeghairi kabisa ngoja niblock na namba. Hii 30k yangu ya Logde ngoja niitafutie odds 10 nibet. Mambo ya ngoma hayaa bora nipige lamkono tu kwa leo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.