Recent content by Bolizozo

  1. Bolizozo

    Sura za KUFA Mtu

    Huyu ni mwanamume wa kweli!
  2. Bolizozo

    Hivi tuna haraka sana eeh?

    Wameandika kuwa...mti wanye matunda mazuri...mmmh sie sawa! Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  3. Bolizozo

    USHINDI wa Obama ni fundisho kwa wapinzani nchini Tanzania

    Ni kweli iwapo CCM haitadiriki Wizi wa kura, Vitisho, Uongo na Rushwa! Muwe wakweli na Mungu atawabariki kinyume chake mtalanika Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  4. Bolizozo

    Mweeeh! CCM Jamaniii

    Ndo maana wametufikisha napa. Chezea CCM wee!
  5. Bolizozo

    Wanawake Kwa Vituko, mie simo hapoo

    Kumbe zafanana, tofauti na midume
  6. Bolizozo

    Tumetoka mbali sanaaaaaaaa

    Raha haina Uzee. Nafasi ikipatikana itumike. Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  7. Bolizozo

    This looks pretty innocent, right?

    Mmmmh Mbuzi Mzee ni hatarious
  8. Bolizozo

    Nini Kinaendelea Hapo chini-Kuna Shule Kweli Hapo au Ndio Laana tunajitafutia, AAAAKH

    Ipi bora,style hiyo au kutafuta Mjamaa wa kumtimbinya?
  9. Bolizozo

    Anayeshindwa uchaguzi wa ndani CCM na kulalamikia rushwa ni mnafiki

    Mbona hata Mheshimiwa sana Sumaye alipokuwa Waziri Mkuu aliidhinisha rushwa kwa kusema hiyo ni Takrima na sawa kutolewa. Amesahau? Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  10. Bolizozo

    Usijaribu hili kwenye HARUSI yako...

    Kweliii, cku hizi gagulo hazivaliwii! Ckujua hilo, ntamweleza mke wangu aachane na magagulo! Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  11. Bolizozo

    We namba ngapi hapo?

    Namba 3 mjomba! Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  12. Bolizozo

    CDM na Tanzania ninayo itaka

    Mbona wanashindwa? Hamna utashi bali porojo tu.
  13. Bolizozo

    Tanzia: KakaKiiza (JF Member) afiwa na Mkewe!

    Pole sana kaka, tuko pamoja nawe
  14. Bolizozo

    Jafo kupokelewa kishujaa kisarawe!!!

    Mmmmh mwanawane, hawa wajomba nomaa kweli kweli,! Wanalipika, linawashinda wakikosolewa wanakimbilia kuliweka sawa na kisha kujiita shujaa wakati hoja iliibuliwa na mtu mwingine? Hivi hansard za Bunge hazioneshi ni Mbunge gani aliyeshughulikia hoja maalumu ya kupinga fao la kujitoa? Ushujaa wa...
  15. Bolizozo

    How to prevent cheating

    Innovation is the tool for improvement. Safi sanaaa, ninakubali! Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Back
Top Bottom