Sasa ulitaka apeleke mpira kwenye channel ya upendo?
Hiyo channel anaimiliki yeye ndio maana unaona anapeleka mpira huko hebu jiongeze kamanda sio kila kitu ni siasa
Na hapo hapo kwenye uislamu unasema mitihani mnayoipata ni kutokana na mliyoyatanguliza kwa mikono yenu...
Acheni dhuluma,Wizi na mabaya mengine muone kama mtaletewa mtawala dhalimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.