TANZIA Bilionea Mathias Manga afariki dunia

TANZIA Bilionea Mathias Manga afariki dunia

Dah Kaka yangu wa damu Ndugu yangu mpendwa tulipanga mengi kwenye msiba wa Baba miezi 2 tu imepita. Mungu ameamua.

Najua utaliza wengi Arusha na pale kijijini kwetu Manyire. Natangulia kukusubiri uletwe nikupumzishe.

Tangulia Kaka tangulia. Mungu ametenda.
Mmh
 
Mathias ni bilionea kweli acha porojo,ana vitega uchumi ya mabilioni ya tsh.

398c9879-e7d9-46a5-a587-580b46a3ff33.jpg
 
Back
Top Bottom