Kwanza kabisa hawana mamlaka ya kushirikia hicho cheti maana hakikukuwa dhamana.
Hivyo wanatakiwa kurejesha hicho cheti kwa mmiliki halali kukaa na cheti cha mtu mwingine ni makosa ile ni nyaraka yake, ndio maana hata mabenki hayatoi mikopo kwa dhamana ya vyeti.
Fanya yafuatavyo.
1. Tafuta...
Halmashauri ya wilaya ya Tarime ilipokea pesa za ujenzi wa madarasa sawa na halmashauri zingine nchi nzima lakini mpaka sasa ujenzi huu upo chini na unasuasua sana, maeneo mengi ujenzi upo hatua ya maboma huku madarasa machache yakiwa kwenye hatua ya upauaji.
Hatua hii ya ujenzi kusuasua inatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.