Recent content by bogie

  1. bogie

    Nani zaidi? Simba vs Yanga thread

    June 12 Saa 7:30 Mchana. Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  2. bogie

    Nani zaidi? Simba vs Yanga thread

    Tarehe 11/06/2022. Saa 3:27 Usiku. Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  3. bogie

    Nani zaidi? Simba vs Yanga thread

    Tarehe 10/06/2022 Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  4. bogie

    Suala la Mugalu imenifanya nigundue jinsi gani wachambuzi wengi wa soka Bongo ni bendera fata upepo

    Nimegundua huyu Mshkaji ana chuku za bure tu kwa Mugalu, ebu atuambie huyo Kagere anaetaka aanze kucheza badala ya Mugalu mechi ya mwisho na Al Ahly alianza alifanya nini zaidi ya kukimbia kimbia tu uwanjani, kutuliza tu mpira ilikuwa shughuli kwake. Sent from my SM-A705FN using JamiiForums...
  5. bogie

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji39][emoji39][emoji39]
  6. bogie

    Uzi wa vyakula tu

    Karibuni breakfast [emoji39][emoji39]
  7. bogie

    Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

    Labda ndio hawa hawa wanaotamba sasa, walibadili majina tu ili kwenda sawa na kizazi hiki cha mwendokasi! May be!
  8. bogie

    COVID-19 inavyoacha funzo la Dunia bila anasa inawezekana

    Kama unazani Covid 19 imekuja kutoa funzo kwa hao tu wewe unaozani walikuwa wanafanya starehe na hanaxa umekoxea kidogo, Covid 19 imekuja kuharibu uchumi na maixha ya watu kiujumla na xio kutoa funzo kama unavozani kwaxababu kama ingekuwa inawahadhibu wanaofanya izo hanaxa na starehe tu kweli...
  9. bogie

    Bado sijapata mwanaume mwenye nia

    Tatizo baadhi yenu mnakubali kuwa katika mahusihano na wanaume kwa sababu ya kipato chao, sasa unakuta mwanaume akigundua ilo ndo anatafuta sababu ya kukutema! Sasa kwa upande sijajua kama unatatizo ilo! Kama uko powa naamini utapata tu unaemuhitaji! Mimi pia huwa sipendagi mademu ambao watakuja...
  10. bogie

    Hawa ndio Maadui wakuu wa Rais Magufuli na serikali yake!

    Mtoa Uzi naona umeandika mambo mengi sana lakini nasikitika kwamba unafahamu fika kuwa Uchaguzi halali wa Zanzibari ulishafanyika October 25 lakini ulifutwa kwa maksudi baada ya wenye dola kuona wanaenda kushindwa na unafahamu fika kuwa Mwenyeki wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibari hakuwa na...
Back
Top Bottom