Kwa maisha ya wengi wa Africa hasa Tanzania hiyo miaka ya 30's ndo kwanza akili inakuja..
ukute wengine ndo wanajikokota kutoka Kwa wazazi wakajitegee..
acha kuwa underestimate watu kiongozi,
kwa tathimin yangu ya harakaharaka tu Hawa watu wanaodhaniwa kuwa Hawana elimu ndio wanaotoa michango mingi kwenye mijadala ya masuala ya kimaendeleo.
kaangalie wabunge utawaona pia, alafu wao huaga wanaongea kuhusu uhalisia wa maisha na sio mambo ya...
unajuaje kuwa sababu ya vita, chuki, kuuana ni uislam!? tofautisha Kati ya uislam na waislam... Kuna kimoja kinaweza kuwepo bila hata uwepo wa kingine..,
kiongozi, kwenye uislam hakuna kusubiri uambiwe, Ni kutafuta ukweli.. na ndo maana unaona watu wanakosoana mtu akizungumza lisilo na ukweli au lenye ukakasi.
kwahiyo kule ni wewe tu na uwezo wako wakufuatilia dini. suala kusubiri kuambiwa kwenye uislam ndo kwanza nakusikia wewe.
hivi kiongozi unaujua mtihani au unasema?
mtihani nikitu Cha ajabu saana, mfano wewe Sasa hivi unaweza ukapewa kazi yakutunga mtihani lakini siku ukiambiwa nenda kajibu mtihani uliotunga, ona utakavokuwa n hofu lakin pia sio hofu tu na unaweza kufeli pia.
lakin Kwa hoja yako yakusema kuwa mtu...
kiongozi jaribu kutafuta hoja ambazo kilojiki zinaweza kumsawishi asiyejua akasawishika,
sijajua mantiki yako nikuonyesha kuwa Quran haikuja na jipya au laa.
lakini kama hoja yako ni kutaka Quran iwe na jipya Hilo sio lengo lake.
lengo lake ilikuwa ni kuleta muongozo katika umma wa Muhammad...
nakupongeza saana kiongozi Kwa kazi unayoifanya, Kwan sio tu unawapa watu ufahamu na elimu lakini pia unawapa watu hamu ya kuchimba zaidi kuhusu uislam.
naomba usiishie hapo kiongozi hizi mada zako ziwe endelevu.. nakuombea Kwa Allah akupe afya njema na uwezo wakuchimba zaidi kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.