Recent content by Bobvuma

  1. B

    Series Kali isiyochosha wala kukinai Tafadhali!

    American oddsey hoi series iko season 1 turn ikafungiwa na FBI sababu inatoa military classified information. Check utajua figisu hata USA zipo
  2. B

    Natafuta dawa ya kienyeji inayoweza kutibu cancer.

    Kwanza pole sana mkuu kwa kuuguza, jaribu hii ni hakika Majani ya mstafeli ni dawa iligunduliws muda mrefu na wamarekani lkn kwa sababu za biashara tesearch ile ikawekwa kapuni bila kufanyiwa kazi hadi leo
  3. B

    What's your favorite movie line/quote?

    Logan“ Nature made me a freak. Man made me a weapon.And God made me last too long.
  4. B

    Hapa Mahakama ya juu kabisa ipo?

    Mahakama kuu IPO lakini jaji mkuu hayupo mpaka sasa jiulize nani anakaimu nafasi hip uliona wapi nchi bila ya jaji mkuu? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. B

    Jenga Nyumba yako kwa Gharama Nafuu

    Nilitegemea hii michoro ifanane na majengo yaliyo kamilika lkn ni opposite kabisa rekebisha basis tukuelewe Sent using Jamii Forums mobile app
  6. B

    Hii ndio sababu ya watu kumuita Lissu mropokaji

    Lisu no kichwa we we alisimamia kesi ya Jacob Zuma Afrika ya kusini akashinda mtaje mwanasheria yupi aliyewahi kuendesha kesi nje ya mipaka ya nchi akashinda? Kama ya makinikia tu watu wamekuja toka nje na wamewashinda bio time ya watu makini. Sema ukweli tu una chuki binafsi na lisu. Sent...
  7. B

    Tanganyika au Tanzania? Nahisi serikali 3 zinaanza kazi kutokea Zanzibar

    Baraza la Wawakilishi (CCM) visiwani Zanzibar limepitisha kwa kauli moja Mswada wa Sheria, unaotaka pamoja na mambo mengine; (a) Bidhaa kutoka Tanganyika na kuingia visiwani Zanzibar zilipiwe VAT 18% (b) Ajira kwenye Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni kwa Wazanzibar tu. Hili jambo naona...
  8. B

    Kwa mitaala ya namna hii mashuleni, tusitegemee kitu chanya

    Sio kweli kwamba wa Afrika ni wavivu wako watu waliojitokeza kuandika kuhusu historia ya Africa na ugunduzi mwingi tu na mahiri ambao leo umeshamiri. Kuna mtu 1 ni black America amefanya homework yake nampenda kwa sababu ananifariji nijivunie kuwa Mweusi kwa jina ni Dr. Myles Munroe. Huyu...
  9. B

    Tetemeko la Ardhi: Hatimaye shule za Sekondari Ihungo na Nyakato zimefungwa

    Hivi huyu lizaboni nae akiongea huwa anarusha rusha mikono? Ndo maana hatafakari kabla ya kunena
  10. B

    Anguko sasa ni dhahiri

    Tafsiri ya Hekima au (Wisdom) is the right application of knowledge. Sasa wewe tueleze hapa kwamba hayo ni matumizi sahihi ya Madaraka?
  11. B

    Dah! ukawa wamebanwa mbavu si kitoto, embu ona mwenyewe!

    Pamoja na hizo degree huku mwanza ccm no hatuipendi kabisa yaani bado bendera za people zinangaraa
  12. B

    Baraza Jipya: Pongezi kwa JamiiForums, WanaJF watatu(VERIFIED) waukwaa uwaziri

    Ummy hawezi wizara ya afya ni ngumu sana angempa hata Faustine
  13. B

    Baraza Jipya: Pongezi kwa JamiiForums, WanaJF watatu(VERIFIED) waukwaa uwaziri

    Magufuli:-Tutakuwa na mawaziri 19, kuna baadhi ya wizara zitakuwa na mawaziri na hazitakuwa na manaibu waziri. Lengo ni kuwa na baraza dogo kupunguza gharama. Zilitengwa bilioni 2, mawaziri watakapoteuliwa waende semina elezi, baraza nitakaloliteua halitakuwa na semina elekezi na fedha...
  14. B

    Uchaguzi mdogo CHADEMA inakufa kwa kasi kanda ya kati

    Hata hizo kura walizopata ccm ni za kuiba sio jalali.
Back
Top Bottom