habari..
tunauza kinywaji cha dragon (energy drink) kwa bei ya jumla
tsh 37000 per caton (24 pic) 500ml
call 0714 9616 61 or 0756 090 222
dar es salaam
Habari zenu waungwana,
kama kichwa cha habari kilivyojitosheleza natafuta body ya deep freezer ya aina yeyote ile yenye urefu wa futi 6 hadi 8.
Mwenye nalo naomba ani pm.
Liwe ndani ya eneo la dsm.
Habari Jf,
Tunauza Deodarant spray kwa bei ya jumla, bei Tsh 3500 kwa pic1..tunauza kuanzia pic 40 nakuendelea na unaletewa hadi ulipo kwa Dar es Salaam.
Call : 0718 446935
mkuu mi sio mwenye gari ila nmewiwa kusaidia pia kuna tangazo nlona zoomtz jamaa ana nissan march 1999 AWC kwa mil 4.2mil..km 131000 no zke.. +255 715 859 321 dsm..then kuna wa dodoma nissan march milango 3 bei 3.2mil no zke +255 713 176 622 imetembea km 150000 AZD.
Kuna nyingine ya 2002...
Habari ndg JF
Ninauza tablet yangu nimeitumia mwezi mmoja tu toka iliponunuliwa nI ZTE TABLET bei yake ni 380,000 (laki tatu na themanini). DSM
serious buyer call 0717 163106
SPECIFICATION ZAKE
Nertwork : 2G & 3G
Sim card : YES either TIGO,VODACOM,ZANTEL,ZAIN etc
Body weight : 403 g...
Habari ndg JF
Ninauza tablet yangu nimeitumia mwezi mmoja tu toka iliponunuliwa nI ZTE TABLET bei yake ni 380,000 (laki tatu na themanini).
serious buyer call 0717 163106
SPECIFICATION ZAKE
Nertwork : 2G & 3G
Sim card : YES either TIGO,VODACOM,ZANTEL,ZAIN etc
Body weight : 403...
mkuu Albosignathus
nazan kwa sasa haitaji place .,zaid n kupeana ile feedbak ya nn tunakifanya...mfano mimi binafsi leo na jana kwa asubuh nlkunywa chai na vpande viwili yya brown bread,mchana nkala maembe mawili na ndizi moja na jioni nkarudia kama mchana. hapa inaweza ikatoa waswas ya kwamba...
Habari wana JF...
dhumuni hasa ni kupata kampan kwa ajili ya kupunguza uzito pamoja..natumaini kwa wale wenye uhitaji basi tutaweza kulitatua hili tatizo. njoo tujumuike
1-tujue ni vyakula gani tuweze kutumia kwa ajili ya kupunguza mwili
2-tujue ni matunda gani yanafaa zaidi mf...
mkuu hii kitu n nzuri sana..nilishawahi kuila n tamu zaidi ya nyama... na nilipata kusikia kuwa inatibu vitu vingi sana katika mwili wa mwanadamu.. watanzania waamke waanze kutumia chakula bora kwa ajili ya afya zao.,wenzetu weupe n walaji sana wa hii kitu maana huelewa manufaa yake.,hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.