Tunatakiwa kujua kwamba majeshi ya Marekani yanapokita mizizi sehemu huendelea kutafuta uhalali wa kukaa milele kama ilivyo Iraq,Afghanistan,Saudia,Djibout,Uganda na hii imeishatokea sehemu nyingi ambazo wana majeshi yao.Tuliikataa Afcom kishujaa lakini inakuja kivingine nasi twafurahia,akili...