Recent content by bobezi

  1. bobezi

    NECTA, haya matokeo ya hii shule yanatia wasiwasi

    Hahahahah mkuu acha wafaulu Sent using Jamii Forums mobile app
  2. bobezi

    Nini kinamsibu Waziri Angela Kairuki? Miaka 3 Wizara 3!

    Unamaana gani mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. bobezi

    Rais Magufuli anadukua simu za mawaziri na kusoma meseji zao? Sikia hili

    Hivi alimaanisha private SMS"""???? Mi nilielewa kuwa wanajibizana kwenye the so called "sosho media' au naelewa vibaya wadau Sent using Jamii Forums mobile app
  4. bobezi

    Kwa taratibu za mazishi za Waislam nawapa kongole

    Sawa tu mradi azikwe Sent using Jamii Forums mobile app
  5. bobezi

    Wajue Masupasta 10 waliofariki kwa ugonjwa wa UKIMWI

    Wapo...yule alisingizia ukimwi wa kulogwa alianzia studio kuumwa..."so hata kwetu wapo"ndugu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. bobezi

    VITUKO DUNIAN

    Mi nadhani hata ssi tungeiga hii tamaduni .. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. bobezi

    Ratiba mpya mjadala wa Escrow Bungeni

    Kweli mkuu...?
  8. bobezi

    Yaliyojiri Bungeni: Jumamosi, 29 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Ok sawa mkuu hata mimi napenda watu wapewe hukumu ya haki...sasa bunge lipo now au halipo..tudaidieni tulio mbali
  9. bobezi

    Yaliyojiri Bungeni: Jumamosi, 29 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Tueleze kilichotokea saa kumi jioni mkuu tuelewe maana asubuhi mheshimiwa aliahidi watarudi saa kumi...sasa saa kumi Raisi wa jamhuri alikuwa akiongea nasi jambo ambalo si baya sasa Je nini kimetokea Bungeni au nao walikuwa wakimsikiliza Rais
  10. bobezi

    Yaliyojiri Bungeni: Jumamosi, 29 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Tunakuja kwa uzi huu kujua hali ikoje Dodoma kama kuna mtu yupo huko basi atujuze jamani. Maana hata Rais keshamaliza kuongea lkn kimya...
  11. bobezi

    Yaliyojiri Bungeni: Jumamosi, 29 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    DU...!!! hii ni ngoma nzito lakini ni uamuzi wa busara sio kama kilichotaka kufanywa jana bunge litoe maazimio ambayo yakomeshe kabisa dhuluma kwa umma na yawe ya haki pia..
Back
Top Bottom