Hivi alimaanisha private SMS"""???? Mi nilielewa kuwa wanajibizana kwenye the so called "sosho media' au naelewa vibaya wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
Tueleze kilichotokea saa kumi jioni mkuu tuelewe maana asubuhi mheshimiwa aliahidi watarudi saa kumi...sasa saa kumi Raisi wa jamhuri alikuwa akiongea nasi jambo ambalo si baya sasa Je nini kimetokea Bungeni au nao walikuwa wakimsikiliza Rais
DU...!!! hii ni ngoma nzito lakini ni uamuzi wa busara sio kama kilichotaka kufanywa jana bunge litoe maazimio ambayo yakomeshe kabisa dhuluma kwa umma na yawe ya haki pia..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.