Wameenda kupumzika manake jana sidhani kama ccm kuna mtu alipata usingizi sanasana kuota ndoto za maruweruwe tu.
Kuna wabunge wengi tu wa CCM walifanya kazi nzuri jana,tuwapongeze. Tatizo ni wale walio kwisha jipanga kuambulia chochote ktk Team Pinda na walio megewa mihamala ya Rugemalira na Singh.