Recent content by bobby bm

  1. B

    Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda

    wana jamvi nisaidieni mawazo, nataka kuanzisha biashara but nina mtaji wa lakhi moja na nilipenda biashara ya nguo sasa cjui itawezekana? naitaji mchango wenu wa mawazo
  2. B

    Ni wapi nitapata nafasi ya kufanya field katika fani ya electrical installation

    Habari wadau? Mimi ni mwanafunzi katika chuo cha ufundi mafinga lutheran vocation training centre, nipo mwaka wa pili katika fani ya umeme wa majumba na viwanda, sasa niliitaji ni wapi nitaweza kupata nafasi ya kufanya field kwa uhakika katika mikoa ya mbeya iringa na dar es salaam. Naombeni...
  3. B

    icloud kwenye iphone 4

    Upo api ww kwani?
  4. B

    Msaada laptop yangu ina stuck....

    Kwahyo ulifanyaje?
  5. B

    Msaada laptop yangu ina stuck....

    Ww tatizo lako lilikua nini?
  6. B

    P.c yangu inani sumbua, msaada jamani

    Cant found kernel image:Confile Boot_ Huo ndio ujumbe unao jitokeza
  7. B

    Msaada laptop yangu ina stuck....

    Je kama uki install wondow inaingia ila haifiki mwisho, ikifika mwisho inaganda au ndio inaanza upya tatizo nini?
  8. B

    P.c yangu inani sumbua, msaada jamani

    Msaada jamai pc yangu nikibari window inaingia ila hafiki mwisho hadi sasa haiwaki, nasielewi nini tatizo na nifanye nn
  9. B

    Nani anazijua sheria za volleyball

    habari zenu wadau? samahani nilipenda msaada juu ya kuzijua sheria za volleyball
  10. B

    Naomba msaada wa ku-root Huawei y530

    Me ni fundi mzuri, na uwezo wa hyo
  11. B

    Nawezaje kuondoa iCloud Lock kwenye iPhone?

    nipe mkwanja nikusaidie
Back
Top Bottom