wana jamvi nisaidieni mawazo, nataka kuanzisha biashara but nina mtaji wa lakhi moja na nilipenda biashara ya nguo sasa cjui itawezekana? naitaji mchango wenu wa mawazo
Habari wadau?
Mimi ni mwanafunzi katika chuo cha ufundi mafinga lutheran vocation training centre, nipo mwaka wa pili katika fani ya umeme wa majumba na viwanda, sasa niliitaji ni wapi nitaweza kupata nafasi ya kufanya field kwa uhakika katika mikoa ya mbeya iringa na dar es salaam.
Naombeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.