Naona kuna vita vikali sana ndani ya Chama Cha Mapunduzi (CCM). Hii inanikumbusha kipindi cha Hayati Dr. Magufuli. Kuna muda alipingwa sana na watu ambao kwa mtu mwenye uelewa wa kawaida atajua kabisa ni watu wa karibu ambao wanatumia sura ya unafiki.
Kuna matukio mengi sana kwa sasa...
Mwonekano
1. Mrefu
2. Mweupe
Umri
Kuanzia miaka 20-27
Dini
Mkristo (Msabato)
Kabila
Msukuma ( hasahasa Mnyantuzu), Muha au Mhehe.
Elimu
Diploma/ Degree
SIFA ZANGU
Mwonekano
1. Mrefu
2. Mweusi
Umri
Miaka 28
Dini
Mkristo (Msabato)
Kabila
Msukuma (Mnyantuzu)
Elimu
Diploma
Kazi...
Ni takribani wiki sasa napitia hii changamoto ya kiafya.
Upande wa kushoto kifuani(Kwenye moyo) nahisi maumivu hasa baada ya kuvuta hewa.
Kuna dalili kama kichefuchefu na uchovu viliambatana
Hii unitokea hasa hasa wakati wa usiku. Mchana mara chache sana hasa nikiwa na njaa.
Kabla ya...
Ukoo wetu hauna dini moja. Kuna Wakristo na kuna Waislamu.
Kuna wengine hawana dini kabisa. Ila some tunachangia mababu. Na tunapendana.
Siwachukii Waislamu kwa kuwa mimi ni Mkristo. Siwachukii wakatoriki kwa kuwa mimi ni Mlutheri.
Kuna wanasiasa wenye nia ovu hasa hasa kutoka Chama cha...
Mkataba una mapungufu mengi sana. Serikali ikae nq wataalam wa mikataba ya uwekezaji wenye uzalendo wa juu. Wapitie vifungu tata...virekebishwe na uletwe tena bungeni kupitiwa na kupitishwa.
Si uungwana kuchanganya siasa na dini. Madhara yake ni makubwa sana.
Waprotestanti, Wakatoriki na...
Mkataba ni mbovu ila haifanyi taasisi ya Urais ivunjiwe heshima.
Sasa wanapodai wana mizizi kila kaya wanamtishia nani sasa?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hakuna anaebisha kuwa mkataba wa DP World na Tanzania ni mbovu.
Wanaharakati wameweka bayana na sisi tusio wanasheria tumeelewa. Hilo ni jambo jema.
Shida inakuja pale Taasisi moja ya dini inajiona yenyewe ndio inaweza kuamua na kusemea taasisi zingine. That's stupidity!
Tanzania ni ya wote...
Binafsi huwa nashindwa kuwaelewa watu wenye nafasi zao kwenye jamii ya Watanzania. Hasa hasa wasanii, kwanini mnakubali kutumika kusahaulisha watu kufatilia suala la msingi la mikataba mibovu inayotufanya tuwe watumwa sisi na vizazi vyetu kwenye nchi yetu wenyewe.
Kwani nyie hamna Watoto au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.