Mkuu pasco 2025 mbali sana we subiri uone 2020 wenye akili wakipindua meza...
Yajayo yanafurahisha tz kuna phd za unafiki kuanzia hao wasomi hadi wasiobahatika kwenda shule.
Ni kweli meku sere lite kamkaba koo vibaya castle lite, K vant nayo kwa sasa inakimbiza kwa kasi wengi wanasema haiachi harufu kali mdomoni hata ukikesha nayo unaamka asubuhi kama umekunywa pepsi...
Tumuite mdau Mshana Jr aje na tathmini yake
Hiyo korosho serikali isipokuja iuza kwa sh500 kwa kilo mniite kichaa, pamoja na kua wafanyabiashara mara nyingi ni wanyonyaji ila tutambue wana chain ndefu hadi huko soko la dunia...
Hapana ndugu sipo kwenye kundi lolote kati ya hayo ulotaja, nina maisha ya wastani na naishi kwa amani na wife.
Ila hilo la wake wengi wa matajiri kugongwa nje ni jambo lipo sana wala halihitaji utafiti. Tukirudi kwenye mada yako suala la mapenzi na fedha ni vitu viwili tofauti kama maji na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.