Recent content by Bob Karanga

  1. B

    Hospitali ya Bombo kuna uzembe mkubwa. Inaumiza sana watu kutothamini uhai wa wengine

    elimu nzuri hii! sema na wewe usiwe judgemental 'kukurupuka?'.
  2. B

    Mauaji Itigi: Baba mzazi (Petro Kulwa) asema alimshuhudia Mkurugenzi akimpiga risasi mwanae(Isaka Petro)

    Alofanya mauaji ni askari wa wanyamapori na hilo linafahamika
  3. B

    Ubalozi wa Tanzania nchini Ujerumani wamuwakia Lissu, kwenda DW kutoa ufafanuzi wao

    Haya ndo mambo sasa! Lissu arudi kutumikia sisi wananchi wake. Katutelekeza ye anakula mitaa tu[emoji24]
  4. B

    Ya Kikwete yanafurahisha

    Nakumbuka ulikuwa unapata muda mwingi wa kushinda mitandaoni. Saivi shinda mitandaoni kama hulali njaa
  5. B

    Tundu Lissu: Wamehangaika kunifungulia Mashtaka, waliposhindwa kunifunga, Wakaamua kunipiga risasi ila Mungu kaniponya

    Baba Ugua pole! Muache JPM na timu yake ijenge taifa. CCM ndo jibu kwa taarifa yako.
  6. B

    Kurugenzi ya Fedha ya Acacia yasema haina kiasi cha dola milioni 300 za kuilipa Tanzania

    President Magufuli wa kuigwa bhana...Someni hapo Barrick Gold's Tanzania deal may set expensive precedent - shareholders
  7. B

    Kwanini Rais alimtuma mpambe wake akamzuie mkalimani kutafsiri Prof Kabudi alipoanza kuongea?

    WATANZANIA BHANA, MKALIMANI ALIKUWA PALE KWA AJILI YA PROF. THORNTORN NA PIA KWA AJILI YA SISI WATANZANIA TUSIOELEWA KIINGEREZA, wakati Prof. Kabudi anaongea AMBAPO SISI WATANZANIA TUNAELEWA ilimpasa arudi kwenye siti yake amtafsirie Prof Thorntorn alichokuwa anaongea Prof. Kabudi. Kwanini akili...
Back
Top Bottom