Hakika zitto hutashinda vita ya uma na kama huamini fuatilia historia ya wasaliti wa wananchi uone waliko ishia.huaminiki tena na unadharaulika kwa jamii nzima unachotaka ni kugawa kura zetu 2015 ila sisi tilioko shuleni bado tuna nafasi yakuja kukushughulikia naadae.
=======Updates =======
Jimbo la vunjo tuna mgogoro na mkuu wa mkoa.kipimo cha mgombea 2015 ni kijana atakaye jitosa kuhakikisha wazazi wetu hawataporwa mashamba ya lokolova.vikao vya wana mwika kusini vinaendelea.mbunge aliyepo kashachukua rushwa 200mil vielelezo vipo muda ukifika tutaweka kila kitu hapa.
kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika Zito kabwe yuko jimboni mwake wakati wabunge wenzake wakiwa dodoma,na kuna taarifa kuwa anajiandaa kwa maamuzi magumu,ambayo yanahusishwa na mkutano wa cdm uliyomalizika juzi diamond jubilee
NCCR ni chama ----- tuulize sisi tuliempa BI JAMES uwenyekit kilimimani dodoma NYIE HAMJUI SIASA NJAA NDIO TATIZO LENU NCCR NI TAASISI YA TISS NYIE VIMBELEMBELE MNADANGANYWA NA FEDHA KUHUJUMU MAGEUZI ILI CCM ITAWALE MILELE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.