Recent content by Boargene

  1. Boargene

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Natafuta nyimbo flani nliwahi kuiskia kwenye radio mwaka jana :(chorus) "Mimi sijali hata wakiongea Mimi sijali maneno yao."
  2. Boargene

    JamiiForums Tanzania Zitambue bidhaa za ujenzi zinazookoa gharama za ujenzi

    Hizi blocks wanatumis sana hata wazungu
  3. Boargene

    JamiiForums Tanzania Zitambue bidhaa za ujenzi zinazookoa gharama za ujenzi

    Kwa bomba za umeme si inashushwa moja kwa moja kwenye outlet kupitia hizo hollow gaps ila kwa maji labda plaster iwe pana kidogo kwaajili ya kuyafunika
  4. Boargene

    JamiiForums Tanzania Kirefu cha FFU

    Field force unit. Yani hawa wakifika eneo husika ni nguvu tu zinatumika na sio akili
  5. Boargene

    JamiiForums Tanzania Dawa ya mafua ya kuku

    Nafahamu kuna bird flu (coryza), pia kusinzia bird cold tumia antibiotics kama tetracycline, amoxicillin kwenye maji kagua mazingira wanayolala kuku wako yasiwe na unyevu(high humidity) watapona baada ya mwezi hivi au zaidi kama ni vifaranga wanaweza hata kufa kama hawatokula vizuri. Kwa...
  6. Boargene

    JamiiForums Tanzania Putin atangaza Vita ya 3 ya Dunia baada ya meli yake kuzamishwa

    Sio kweli
  7. Boargene

    JamiiForums Tanzania Kumbe Ukraine ni ndogo hivi kwa Russia, kweli ukubwa sio ushindi

    Hapa shida ipo. Kaz kwelkwel
  8. Boargene

    JamiiForums Tanzania Yanayoendelea Ukraine ni zaidi ya ilivyokuwa Rwanda 1994

    BBC unalishwa sumu kamanda. Tafuta china global news au rt lasivyo komaa na Twitter kuna madini mengi tu
  9. Boargene

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Alihusika kuwazuia raia wa mauripol wasiodoke huko kwa kuwapiga risasi
  10. Boargene

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kamanda wa Ukraine azov batalion huko mauripol
  11. Boargene

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Hawa ni azov batalion wamejisalimisha huko maripol
  12. Boargene

    JamiiForums Tanzania Kati ya Kikwete na Magufuli ni Kiongozi yupi aliyetumia mamlaka yake vibaya zaidi?

    Hapa umeongea aise bado kuna ule mgomo wa madaktari watu waliuwawa sana, mgomo wa wanafunzi ifm watu walilawitiwa kipindi cha jk na mengine mengi tuu tumesahau
  13. Boargene

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi tulivyompoteza dada yetu kwa UKIMWI

    Dada yako amepitia kipindi kigumu sana. Pole mkuu Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app
  14. Boargene

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanandoa wanawezaje kuishi pamoja kwa muda mrefu?

    Bro nmekuelewa. Ila yawezekana ukimpata mtu sahihi mambo yakawa fresh Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom