Recent content by Bm Mashimba

  1. B

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Bora tu aondoke LV maana siku izi wachezaji wamezidi kupoteza comfidence na hawana morali kabsa ndo maana tunashuhudia majeruhi ni weng
  2. B

    Nyuma ya pazia: Kwanini Lowassa anahutubia kwa muda mfupi sana?

    Unayo majibu ya vipimo vyake vya huo ugonjwa anaoumwa???
  3. B

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Yaani kaka nilikuwa sina raha kwa maneno ya watu kuwa leo lazima tufungwe
  4. B

    Watu wafurika Hotel Mwanza kumuaga Lowassa akienda Mbeya

    Ni mahaba kwel kwel kwa watu ya kanda ya ziwa
  5. B

    Mafisadi wanazidi kuikimbia CCM na kujiunga na CHADEMA/UKAWA

    Sasa siukawafungilie jalida mahakamani ndugu yangu kama ushahidi upo aisee maana tumechoka maneno
  6. B

    Picha tu: Lowassa Mwanza

    Duuu,mbona ni shida mwanza
  7. B

    Mdahalo: Tuwapime Magufuli na Lowassa

    Sasa wewe unasema wa2 800 kati ya hao maengeneer,machemia na wengne walosoma sayansi walikuwa wangapi???
  8. B

    Mdahalo: Tuwapime Magufuli na Lowassa

    Kwa wewe unavyofkiria hao wasomi walioko mtaani ni wakemia wangap ambao anaweza fanya kwenye vwanda zaidi ya 60 kaka??
  9. B

    Mdahalo: Tuwapime Magufuli na Lowassa

    Afadhali mwenye elimu kwa sabab hyo hyo elimu itatusaidia kuongeza wataalamu wa kuviendesha hvyo vwanda 2. Tukifanya vwanda 2taishia kuajiri 2 wataalamu kutoka nje kama ilivyo uwanja wa taifa na c ndan ya nchi na watanzania watakuwa kama ma day worker 2
  10. B

    Sam Mahela wa ITV apewa vitisho baada ya kutoa habari ya abiria waliokwama na treni

    Mungu akupe nguvu na uwezo wa kuendelea kuripot habar zaid ya hyo,nakukubali sana Sam Mahela
  11. B

    UKAWA vs CCM katika urais, piga Kura hapa

    Mkuu badae utoe matokeo ili 2jue mshindi!!
Back
Top Bottom