Vipi kaka tuweke wazi kama mari inatoa harufu mbovu tumpe tiba shemeji,maana Kitu ambacho mwanaume hawezi kukivumilia kwa hari yoyote ni hiyo kitu[emoji3]
Kushuka kwa kuavo wa tandale mpaka aje msanii mwenye nyota kumpita yeye na awe na mashiko kwenye kazi zake sio Mmakonde wala marioo na sio tu mziki mzuri pia Mziki unahitaji kafara kibao usichokijua wewe, Muangalie Burna boy na mitindo yake ya kuvaa sketi na nguo za ajabu hawavaitu ilimradi...
Age ya 25 kwa Mwanamke sio haba,umepata mafanikio ndio Muombe Mungu pia akuongoze upate mtu sahihi Mjenge family asikwambie mtu eti hii age bado sana, pesa tu haiweizi kukupa furaha na ndo maana umeleta huu uzi apa.
Top List kwa hii Generation ni mtazamo tu.
1.FidQ [emoji146]
2.Dizasta vina[emoji238]
3.Stamina[emoji981]
4.Monicetralzone[emoji350]
5.Con boi
6.Salmin swagg
7.Young killer
8.Young Lunya
9.Country boe
10.Motral the future
SAB.
Rapcha
Marifaa
Nacha
Kontawa
Ghafla bin Vuu.
The real fidQ, huyu jamaa anajua nafikili akichimba atamuachia Dizasta vina kuwa king wa Bongo hip hop hawa marapa wengine wameshindwa kufikia ata nusu ya hawa jamaa
Umeupiga mwingi bro huyo hawezi kukupa stress na kadili mnavyoenda unajikuta unamuelewa taratibu hatimae watoto wa tatu ndo maisha hayo.
Hongera sana umefanya kikubwa ambacho wengi hawawezi kwa nyakati hizi
[emoji28][emoji28][emoji28]We nae bana ujue kusamehe vitu..hapo ilitakiwa uombe tena match ya ugenini halafu unaanza kumuumiza kwa maneno kwamba ungekubali kipnd kile saiz ungekua mke wangu, me hapo ilkuwa lazima nimle bas ili ata akja kuludi kwenye form usipate shida kuiomba mbususu
Zero to hero[emoji881] ,halafu kama yupo Freemason jiunge na wewe maana usishangae siku ya hukumu ukachomwa moto kwajili ya zambi ya uzinzi na kuwaonea Wivu wengine wanapofanikiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.