tandabui2021
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 3,120
- 5,362
Mimi ni baba ninafamilia ya watoto 3, lakini mimi na mke wangu hatuishi pamoja kutokana na yeye kufanyia kazi sehemu nyingine.
Katika pita pita zangu nikakutana na mwanamke mmoja 'black beauty' nyuma kafungasha (Nacy, lakini siyo jina halisi). Sasa kuna mdada mmoja ni rafiki yangu ninafahamiana naye nilivyomuuliza kuhusu huyo Nancy akaniambia hajaolewa ila amezalishwa tuu, wewe kama unamtaka nikupe namba.
Mimi nikamwambia nipe hiyo namba, dada akanipa ile namba tukaanza mawasiliano ya hapa na pale, mwisho wa siku tukakutana. Ila kwa maelezo yake Nancy amesema kaolewa ila huyo bwana wake hampi matunzo ya kutosha, na yeye anasema hataki kuzaa na wanaume tofauti tofauti.
Ila mimi kiukweli nikamwomba mbususu akanikubalia, nikamtia kwenye ndinga yangu nikampeleka nje ya mji kidogo, tulipofika kule nikaanza kumchakata mbususu, mtoto kaumbika kila nikitazama ule mzigo na rangi yake ya kambale najikuta ndonga imenyanyuka tena, sasa siku ya kwanza tuu nikajikuta nimeenda roundi 6.
Tatizo kubwa ni kuwa nimenogewa na huu mzigo na nimeshauri aachane na huyo bwana wake nimpe matunzo lakini huyu mwanamke anakuwa mzito, yaani mpaka sasa hivi nahisi kama huyu mwanamke kaniroga, yaani namuwaza yeye tuu muda wote.
Katika pita pita zangu nikakutana na mwanamke mmoja 'black beauty' nyuma kafungasha (Nacy, lakini siyo jina halisi). Sasa kuna mdada mmoja ni rafiki yangu ninafahamiana naye nilivyomuuliza kuhusu huyo Nancy akaniambia hajaolewa ila amezalishwa tuu, wewe kama unamtaka nikupe namba.
Mimi nikamwambia nipe hiyo namba, dada akanipa ile namba tukaanza mawasiliano ya hapa na pale, mwisho wa siku tukakutana. Ila kwa maelezo yake Nancy amesema kaolewa ila huyo bwana wake hampi matunzo ya kutosha, na yeye anasema hataki kuzaa na wanaume tofauti tofauti.
Ila mimi kiukweli nikamwomba mbususu akanikubalia, nikamtia kwenye ndinga yangu nikampeleka nje ya mji kidogo, tulipofika kule nikaanza kumchakata mbususu, mtoto kaumbika kila nikitazama ule mzigo na rangi yake ya kambale najikuta ndonga imenyanyuka tena, sasa siku ya kwanza tuu nikajikuta nimeenda roundi 6.
Tatizo kubwa ni kuwa nimenogewa na huu mzigo na nimeshauri aachane na huyo bwana wake nimpe matunzo lakini huyu mwanamke anakuwa mzito, yaani mpaka sasa hivi nahisi kama huyu mwanamke kaniroga, yaani namuwaza yeye tuu muda wote.