Mimi siachi wala sinunui chochote mke wangu Ana ajira yake, lakini nimemfungulia biashara ambayo ni kubwa namaanisha ni kubwa na huwa namwekea pesa kwenye acc yake ya kutosha tu. Vitu vingine vikubwa vyote nafanya Mimi. Namaanisha kujenga, kabadilisha gari, kuongeza kipato nk na ki ukweli sijui...
To be honest. hata kama dogo ni punga ila kichwani yupo vizuri kuliko mond. na kuwa na mafanikio haina maana una busara au akiri wakati mwingine mtu unakutana na zari unabonyeza right button at the right time basi. unamshukuru mungu anayenyesha mvua kwa wema na wabaya
Jamani ile misafara ina raha yake. hamuoni hata viongozi wa upinzani wakienda kwenye ziara hata wao huwa wanamisafara? huyu jamaa siyo malaika, anayo mazuri yake na mabaya hawezi kosa msitegemee muujiza. sisi tufanye kazi tulizonazo kwa bidii tu zitatulipa siku moja, tusio nazo tusikate tamaa.
Muziki wetu tunauua kama tulivoua soka la bongo simba na yanga tuu hata kama wanacheza ujinga ndiyo mechi zao zinajaza timu zingine hakuna washabiki. ndiyo hii ya timu za muziki hata waimbe ujinga tu watu wanashabikia kisa mond au kiba.non sense
hahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
kweli nimeamini ukicheka na nyani utavuna mabua. yaani makamba naye anataka urais? kweli kichwa cha mwendawazimu si kwenye soka tu hata kwenye siasa yani kila mtu anajifunzia urais tz? daaaaaaah siwezi kuamini
yani bora jiwe kuliko huyo makamba hivi...
sijui kwa nn naamini katika usuluhishi.
nadhani ni kwa sababu imani yangu inanambia kunapo mgogoro wowote ule iwe familia, kanisani, msikitini, chama na sehemu nyingine yeyote ile ukomavu unaonekana pale watu wanapomaliza tofauti zao na kuendelea kuwa pamoja
lakini kufukuzana ina maana...
hivi uchaguzi hadi watu waamue?
au haya mambo yanatakiwa yawe ndani ya katiba? vipindi vya uchaguzi vinatakiwa viainishwe na pia katiba inatakiwa iweke wazi ni wakati gani uchaguzi unaweza kusogezwa mbele au hata kufanyika mapema kuliko wakati wake. sasa t seemz hapa alitakiwa aeleze kama muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.