Wakuu kwema?
Nina shida hapa imenitokea, mnamo tarehe 23 nilituma pesa kama Tshs 500k kwenda namba ya voda tokea halotel, ila nikajagundua nimekosea namba,
Nikawapigia halopesa, wakaniambia nisubiri masaa 72 pesa itarudi,
Nikawa mpole nikasubiri, masaa yamefika 100,pesa haijarudi...
Wanajamvi,
Kwema? Kwa zilizo chini ,ni kwamba huyu mwamba DAB ndie mrithi wa kijazi,na uteuzi wake utaanza soon,ila washauri wa mzee wamempinga,lakini pia kama mjuavyo mzee hapangiwi yeye hujua nani acheze full time na nani atokee bench,
Stay tuned
Baada ya tafrani kubwa Kuhusu ajira za walimu zilizotangazwa, hatimae kimya kimya walimu 5000 wapigwa stop baada ya kugundulika hawana sifa za ualimu wengi wao wakiwa ni mathematician, engineer's, BVM na wataalam wa accountancy!
Hata hivyo chuo cha ekernfors Tanga, kimeingia ktk kashfa baada ya...
Okay,
Mfano,..nataka jiunga na Galsport betting na kuwa na acc kama 10 hivi,...,ila namba yangu,nishajiunga NAyo..., nataka virtual number ili niweze confirm maaa code wanatuka humo
Habari wana jukwaa,
Nikiwa Kama senior member humu, ninaleta mbinu za kuhama shule au chuo ulichochaguliwa
Baada ya Tamisemi Ku allocate Majina ya vijana waliomaliza form 4 mwaka Jana 2019 vijana na wazazi wengi wamekuwa wakilalamika Sana kuhusu uchaguzi huo!
Gvt kupitia Kwa Bwa. Jafo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.