Recent content by blind fighter

  1. B

    Makato kwenye mshahara wangu

    Sijazinguana nao, na bado nipo nafanya nao kazi. Mkataba wowote sijapewa, hamna makato yoote yaliyokuwa yakikatwa. Najiuliza, au ndo wameanza kukata PAYE na NSSF? na hii inawezekanaje labla sijapewa mkataba wakuu? Yawezekana wapo sahihi mimi ndo sijui, lakini inawezekana bila kuambizana...
  2. B

    Makato kwenye mshahara wangu

    Kazi nafanya mkuu. Sema nataka tu kufahamu
  3. B

    Makato kwenye mshahara wangu

    Sina bima lolote mkuu
  4. B

    Makato kwenye mshahara wangu

    Habari wakuu. Mnamo wa mwaka jana mwezi wa nne nilipata kazi kwenye kampuni moja hivi, tulikubaliana kiasi cha mshahara take home itakuwa 500K. nilivoanza, nilikuwa napokea cash kwa accountant bila makato yoyote. Yaani ilikuwa hiyo 500k hadi mwezi December. Nilikuwa situmii bank, na...
  5. B

    Biashara ya kuuza mifumo

    kwa hiyo mmezira post yangu hamtaki hata kuComment chochote sio?
  6. B

    Biashara ya kuuza mifumo

    Wakuu habari za wakati. ni muda sasa toka nimemaliza chuo, mwaka huu mwezi wa saba natimiza miaka miwili mtaani. Chuoni nimesoma Shahada ya Teknolojia ya Habari za Biashara (bachelor in bussiness Infomation Technology). Mwaka jana mwezi wa pili nimepata kazi kwenye kampuni moja hivi ya...
  7. B

    GE2025 Ukweli usioufahamu kuhusu wanaosema wataandamana

    NGOJA NIWAAMBIE WATU KUWA UKIWA NA TOR BROWSER UNAWEZA kuAccess Jamii forums:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D
  8. B

    Rwanda kuidhamini Athletico Madrid, Tanzania tuamke

    IN Unajua kiingereza? au ndo wale wa "zis water is koldi"
  9. B

    Kupotea kwa Mdude: Tuhuma za kuhusika kwa Askari katika kupotea kwa Nyagali, Uchunguzi mkali waanza, kikosi chatumwa, kutoka mtandaoni

    NAY WA MTGO (THE TRUE BOY) ANAKUAMBIA "POLISI ANAPEWA KUMTAFUTA POLISI". CCM WASAMEHENI WANANCHI. HIZI DAMU MNAZOMWAGA SIO NZURI
  10. B

    Naomba mnisaidie interview questions upande wa System Admin na Netwrking

    Wakuu, Kwa wale mliopo makazini, hasa upande wa system admin and networking, naombeni interview questions based on the real world scenario and application. Kama unaweza kunisaidia na practical questions, hasa zile most tasks za ofisini, naomba mnisaidie wakuu.
  11. B

    Narudi tena humu kuomba kazi, msinichoke wakuu

    wakuu kila mara nakuja humu kuomba kazi, napost thread lakini watu wanaangalia tu, jamani mnataka niendelee kuteseka hivi hivi? Aya! nina bachelor degree ya Business IT. experience in networking, (I have worked as an intern at PowerComputers Company Limited, Posta Dar es Salaam) for four (4)...
  12. B

    Nina ujuzi wa quantum geographic information system (Q. G. I. S), naombeni kazi wakubwa

    Wakuu, habarini za saizi, kama mada inavyojieleza hapo juu, nina ujuzi na programu ya QGIS (Quantum Geographic Information System) . naombeni mnisaidie ni namna gani naweza kupata kazi hizi za GIS. je hapa Dar kuna kampuni lolote linalohusiana na haya mambo ya GIS? kama lipo, naombeni mnisaide...
Back
Top Bottom