Mstahiki Mea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 6,135
- 11,393
Hawa jamaa wamedhamiria kukuza utalii kweli kweli. Miaka michache ijayo huenda ikaongoza kuwa na wageni wengi kuliko nchi zenye raslimali nyingi za utalii.
Sector ya utalii Tanzania nimuhimu tuamke, angalau tuwekeze makatika matangazo ya kidigitali yani kila mtu atakayetaka kupata taarifa kuhusu utalii, Afrika apelekwe kwenye tovuti ya utalii Tanzania.
Tusipoamka tutapigwa gepu vibaya sana. Ubunifu kwenye karne ya 21 ndio kila kitu. Tuache kuwekeza kupandisha wasanii wetu mlimani tuwekeze kimataifa zaidi nihayo tu.
Mkiunganisha uzi mtajua wenyewe
Sector ya utalii Tanzania nimuhimu tuamke, angalau tuwekeze makatika matangazo ya kidigitali yani kila mtu atakayetaka kupata taarifa kuhusu utalii, Afrika apelekwe kwenye tovuti ya utalii Tanzania.
Tusipoamka tutapigwa gepu vibaya sana. Ubunifu kwenye karne ya 21 ndio kila kitu. Tuache kuwekeza kupandisha wasanii wetu mlimani tuwekeze kimataifa zaidi nihayo tu.
Mkiunganisha uzi mtajua wenyewe