Recent content by blessed Fanikio

  1. blessed Fanikio

    RC Chalamila amechoka kukaa DSM, changamoto zimezidi anatamani kutua mzigo. Kila la kheri kwenye majukumu mapya

    Unamaanisha yule aliesema watanzania wengi ni wajinga???, Itakuwa ndugu hawa, yule ndio anavaa na t shirt imeandikwa Samia love hadi aibu
  2. blessed Fanikio

    Rais Samia amefanya makubwa sekta ya maji wilayani Ludewa

    WANASIFIA ATM KWA KUWAPA FEDHA ZAO WENYEWE, HUO NI WAJIBU WAKE KAMA KIONGOZI LAKINI UTAFIKIRI ANATOA FEDHA ZAKE MKONONI, HUU UCHAWA HUU UMEZIDI
  3. blessed Fanikio

    Umasikini na ujinga ni mtaji mzuri sana kwa CCM hili kuendelea kukaa madarakani

    Njia pekee ya kutawala milele watu ni kuwanyima elimu na kuwafanya wawe na maisha magumu, wanajua ukiwa na Maisha mazuri akili yako itafunguka lakini ukiwa na njaa muda mwingi utawaza kuhusu tumbo
  4. blessed Fanikio

    Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

    Nilichomwelewa ni kuwa hatutakiwi kuwatenga wenye dhambi, na dhambi sio ushoga na usagaji tu, HUKOHUKO kuna wezi, wazinzi na waongo, ukianza fukuza kanisa halitabaki na watu MWISHO MWENYE KUHUKUMU NI MUNGU PEKEE SIO BINADAMU MSIJIPE MAMLAKA HAYO KUMBUKENI WENGINE HUONGOKA SIKU YA MWISHO YA...
  5. blessed Fanikio

    Ludovick Utouh: Tusijikombe sana, fedha ni za Umma sio za Rais

    Wanaipongeza atm kwa kutoa fedha zao wenyewe, shida uchawa na ujinga umezidi, Yani unaweza ukamuona mwanaume mzima anavyompamba na kumsifia mwanamke mwingine au kipindi cha nyuma kwa magu hadi unajiuliza ana familia kweli huyu au?? Mambo mengine hadi ukiangalia unaona aibu
  6. blessed Fanikio

    Chalamila amefikia mwisho wa kufikiri: Eti Watanzania wahame Dar es Salaam yenye matatizo

    Hii nchi tutaona mengi, MWINGINE alituambia tuhame nchi twende Burundi, huyu leo anatufukuza dar twende kijijini, bado mnaona hii nchi yenu??? Ya wachache wenye mamlaka
  7. blessed Fanikio

    Kauli ya papa na upotoshaji wa BBC makusudi

    Labda wanafikiri dhambi ni ushoga na usagaji tu!!, Kama hata uongo, wizi, ukahaba na mengine maovu mengi basi tutawafukuza wote kanisani, daima tambua kanisa ni la wenye dhambi, Kwa sisi wakristo kwenye biblia Yesu aliulizwa kwa nn anashinda na kula na wenye dhambi?? Akawajibu wenye afya...
  8. blessed Fanikio

    Tabiri hapa matokeo ya mechi ya marudio kati ya Simba SC dhidi ya Wydad Casablanca

    Isingekuwa ajira serikali yako tukufu ya CCM Isinge halalisha na kuwa kama chanzo chake cha mapato ikikusanya mabilioni yanayotumika kuwalipa posho na mishahara nyinyi, Badala MSHUKURU mnasimama kutwa majukwaani mkishakula mmeshiba kuwatukana hao vijana kana kwamba wanakuja kuwaomba majumbani...
  9. blessed Fanikio

    Tabiri hapa matokeo ya mechi ya marudio kati ya Simba SC dhidi ya Wydad Casablanca

    Kila unachokifanya kwenye Maisha Yako ni betting, as long as hujui hata dakika mbili zijazo nn kitatokea, hivyo Maisha yote yamejaa ubashiri mtupu sema mnakosea mnapo specify baadhi ya Mambo, waacheni vijana wabet, kama hamtaki waingie maofisini wawatoe kwa nguvu muwaachie hizo nafasi Wapo bize...
  10. blessed Fanikio

    Tabiri hapa matokeo ya mechi ya marudio kati ya Simba SC dhidi ya Wydad Casablanca

    Mkishakula mmeshiba na hivyo viajira mlivyonavyo mnaona kila anayehangaika Mtaani au kubeti anapenda, usiwaone watu wote wazembe kisa mlango wako wa mafanikio umefunguka mapema
  11. blessed Fanikio

    Kuanzia IGP Harun Mahundi aondoke Polisi imekuwa mafia

    Vipi kuhusu wanawake nao wameandaliwa nn kulingana na maandiko???
  12. blessed Fanikio

    Kwanini 99% ya wanawake hupenda kulala upande wa ukutani mwa kitanda?

    Hiyo mara nyingi Sana na utafikiri wanazungumzaga na Israel mtoa roho
  13. blessed Fanikio

    Kwanini 99% ya wanawake hupenda kulala upande wa ukutani mwa kitanda?

    Mkuu wengi tunalala stoo na hivi vyumba vyetu vya 3+3 utawekaje kitanda kati???
  14. blessed Fanikio

    Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

    Wana jiitaga wana sayansi achana naye Mkuu, kama wanaamini kuna Mungu basi waamini mapepo yapo vilevile
Back
Top Bottom