Recent content by blessed chiqqah

  1. blessed chiqqah

    Ulijikutaje kwenye madeni na uliwezaje kutoboa?

    ndugu yangu ye ndo alikua pillar kwao naanzaje kuanza kusema namdai 3m nawezaje
  2. blessed chiqqah

    Ulijikutaje kwenye madeni na uliwezaje kutoboa?

    msiba ulikua dar ila amezikwa mbeya
  3. blessed chiqqah

    Ulijikutaje kwenye madeni na uliwezaje kutoboa?

    Habari zenu ndugu zangu wana Jf.. kama mada inavyojieleza hapo hebu naombeni mnipe mbinu...mimi si mzuri kwenye kuandika ila natumaini mtanielewa nahisi kuchanganyikiwa nahisi kukata tamaa sijioni nikitoboa nimepanick to the extent Iko hivi, nilikua na rafiki yangu ama shost yangu kindaki ndaki...
  4. blessed chiqqah

    Wanawake wengi mnapozwa na kauli zenu

    ni sawa ila wanasema usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzako
  5. blessed chiqqah

    Wanawake wengi mnapozwa na kauli zenu

    hata nyie wanaume pia msiwatamkie wanawake zenu 🌚
Back
Top Bottom