Recent content by BLESSED BOY

  1. B

    Kama hujaridhika na nyongeza ya mshahara, Acha kazi uende wanapolipa vizuri!

    Kwani umelazimishwa kufanya kazi na serikali? Ka haujaridhika na ongezeko sepa katafute wanapolipa vizuri Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
  2. B

    Kwako Waziri wa Ajira: Matatizo katika mfumo wa Sekretarieti ya Ajira

    Uzi ni mzuri, nadhani ungeweka pia kwenye web ya sekretariet ya ajira sehemu ya complaints ingekua nzuri zaidi na ujumbe ungewafikia kirahisi zaidi Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
  3. B

    Wajuzi wa HR shusheni nondo hapa

    Shusha nondo aisee
  4. B

    Wajuzi wa HR shusheni nondo hapa

    Ok, weka nondo zako sasa
  5. B

    Wajuzi wa HR shusheni nondo hapa

    1. Mention tools of the human resource officer 2. Vertical alignment is the alignment of hr practices with org toward achieving the org objectives. explain characteristics of vertical alignment 3. Corporate strategic plan has four-time of spans. Mention 4. Factor for designing an organization...
  6. B

    Mwanamke usipoolewa ni aibu

    Acha kuwapa presha wanawake, ninyi ndio mnaoharibu mindset za wanawake kwa kuandika thread ka izi. Kila mtu hapa duniani ana wakati wake wa kuoa au kuolewa. Kama dada zako wanaolewa under 32 basi elewa pia wengine wakati wao sahihi wa kuolewa ni 34, 35, 36, 37, 38 n.k kama wewe umeolewa ukiwa 28...
  7. B

    Unapoulizwa swali hili kwenye mahusiano "Unafanya kazi gani?"

    Bila shaka huyo mtu anataka kuioa iyo kazi au kuolewa na iyo kazi. Just a joke 😁😁😁
  8. B

    Inauma sana...

    Hapa duniani nawapenda watu wote ila namwamini Mungu tu. Hata wazazi wangu siwaamini note that "....wapende wote ila usiwaamini..."
  9. B

    Wachaga watabaki kuwa wake bora daima...

    Ukitaka Pia ukitaka wapiga kazi oa wachaga ila ukitaka wenye mapenz oa kabila lingine maana wachaga hawana mda na mapenzi wao wana mda na pesa. Kuoa ni kuchagua
  10. B

    Wachaga watabaki kuwa wake bora daima...

    Basi nakushauri ukoo wenu wote oeni kwa wachaga itapendeza zaidi
  11. B

    Waliosoma BCOM UDSM na shida ya vyeti vyao kwenye ajira

    ulishawai ipeleka hoja yako sehemu husika (dawati la malalamiko-sekretariet) ?
  12. B

    Nipo katika mahusiano kwajili ya kupata faraja

    yawezekana kwako dini sio kigezo lakini katika kuoa au kuolewa dini ni kigezo muhimu sana cha kuzingatia hasa hizi dini mbili uislamu/ ukristo. Ila ka wawili wapendanao ambao dini ni tofauti na kila mtu karidhika kuishi na mwenzake napo sio tatizo Ila tu watambue izi dini mbili zimetofautiana...
  13. B

    Nipo katika mahusiano kwajili ya kupata faraja

    Umesema "...Kwa kweli nilisha mkabidhi maisha yangu..." ushauri tu, maisha hayakabidhiwi kwa binadamu mwenzako au huyo mwanaume wako. Maisha yako mkabidhi muumba wako (Mungu) utakua salama. ukimkabidhi huyo jamaa maisha yako anaweza akayafanya vile apendavyo alafu kesho utakuja na thread kibao...
  14. B

    Kwa haya yanayofanywa na waheshimiwa nimegundua kwanini Nyerere hakuitwa Mheshimiwa Julius Kambarage Nyerere

    Mw. Nyerere alikua wa kipekee sana, alikua mtu wa kwanza afrika kusoma nchini uingereza, alijawa na hekima, busara na uzalendo. hakutaka kujimilikisha mali kama baadhi wafantavyo leo. Alikuwa na kibali cha hali ya juu ndani na nje ya tz pia alipendwa sana na wengi, hotuba zake mpaka ii leo...
Back
Top Bottom