kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 1,863
- 3,475
Habari zenu wanabodi.
Viongozi wetu wengi hapa nchini tumekuwa tukiwaita waheshimiwa.Nilipata shida Sana kujua kwanini tunatumia mwalimu nyerere badala ya mheshimiwa . Hizi siku mbili tatu ndio nimegundua kwanini
Ongezea ugunduzi wako tuendelee kuelewa kwanini hakuitwa vile.
Naipenda Sana nchi yangu
Nampenda baba wa taifa langu.
Viongozi wetu wengi hapa nchini tumekuwa tukiwaita waheshimiwa.Nilipata shida Sana kujua kwanini tunatumia mwalimu nyerere badala ya mheshimiwa . Hizi siku mbili tatu ndio nimegundua kwanini
Ongezea ugunduzi wako tuendelee kuelewa kwanini hakuitwa vile.
Naipenda Sana nchi yangu
Nampenda baba wa taifa langu.