Ongeza hizi.
Chekaapp
Inakupa vichekesho vya kila siku kwa njia ya post za kawaida, picha pamoja na videos.
Link cheka – Applications Android sur Google Play
Nipime app
A simple but powerful app which enable student to do real time quizzes on Mathematics, physics, Biology, Chemistry and other...
Wakati mwingine watu tukizungumza shida za jumuiya, yaani siyo shida za mtu mmoja mmoja. Ni wajibu wetu kuhakikisha kwamba kwa kweli hizo ni shida za jumuiya, siyo uzushi wetu wenyewe kwa faida yetu wenyewe. Mambo tunayozungumza katika mikutano yetu hayana budi yatokane na watu wenyewe huko...
Tovuti ya Vitabutanzania kila wiki huwa inakuletea Swali la wiki ili kujua Wanachi wana Maoni gani katika Mada Husika.
#swaliLAwiki hiii
Gharama zilizotumika kwenye Bunge Maalum la Katiba Je zinaendana na kilichofanyika?
Tafadhali wasilisha Majibu yako hapa
▶▶...
Habari WAungwana, Leo Na wapa Siri Chache za Kiswahili.
1. Je Unajua Kua Kiswahili Kina Zaidi Ya Methali 600?
2. Je Unajua Kua Kiswahili kina ZAidi Ya Nahau 350?
3. Je Unajua Kua Kiswahili Kina zaidi ya Vitendawili 350?
Kama Unataka Kuzisoma au Kumpatia Mwanao Methali, Vitendawili na Nahau Hizo...
Kama wewe ni mzazi mwenye Mwanafunzi wa O level (kidato cha i - iv), Au ni mwanafunzi wa O level (kidato cha i - iv) pata Bure nakala ya kitabu hiki kinachoelezea jinsi ya Kufanya Practicals za Biology kwa ngazi ya O level.
Nakala hii inapatikana hapa >>...
#pazaSAUTI Usikike
Saidia kukusanya Maoni yako Kuhusu Swali hili linalogonga vyichwa kwa sasa.
Unapenda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Iwe Na Selikari Ngapi? Mbili au Tatu?
Maoni yako ni Muhimu sana
Wasilisha Maoni yako katika tovuti yetu kupitia Link hii..>>
Vitabutanzania | Swali La Wiki
Kwa wanafunzi wote wa Olevel, Au una Ndugu yako wa O level, Download kitabu hiki chenye Maswali ya History Kuanzia form One Mpaka form 4.
http://www.vitabutanzania.com/book.php?bookid=vtsn002
Asante ndugu wanajamii wenzangu.
kwa jina naitwa bless mgongolwa, Nipo kidato cha 6 PCM katika shule ya secondary BENJAMIN WILIUM MKAPA, Katika kujitolea kuendeleza elimu ya tanzania Nimebuni TOVUTI inayoitwa VITABU TANZANIA yaani (Vitabu )ambayo itakuwa ina shughulika na kuweka MATILIO, MAKALA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.