Bless Hackerson Mg
Member
- Mar 3, 2013
- 30
- 4
Wakati mwingine watu tukizungumza shida za jumuiya, yaani siyo shida za mtu mmoja mmoja. Ni wajibu wetu kuhakikisha kwamba kwa kweli hizo ni shida za jumuiya, siyo uzushi wetu wenyewe kwa faida yetu wenyewe. Mambo tunayozungumza katika mikutano yetu hayana budi yatokane na watu wenyewe huko vijijini kwao. Tukiisha kuyazungumza na kuona jinsi ya kuondoa shida hizo hatuna budi turudi tena kwa watu wenyewe kule vijijini tuzungumze upya shida hizo na jinsi tunavyofikiri shida hizo zaweza kuondolewa kama mawazo yetu na mawazo ya watu wenyewe yatakubaliana vema
~ Mwalimu Julius K. Nyerere katika kitabu chake cha TANU NA RAIA.
Unaweza Kukisoma hapa
▶▶ www.vitabutanzania.com/tanu.php
Ukisoma kitabu hiki mambo mengi yaliyo kuwa yanapingwa na Mwalimu Julius K. Nyerere Sasa ndo yanatokea
~ Mwalimu Julius K. Nyerere katika kitabu chake cha TANU NA RAIA.
Unaweza Kukisoma hapa
▶▶ www.vitabutanzania.com/tanu.php
Ukisoma kitabu hiki mambo mengi yaliyo kuwa yanapingwa na Mwalimu Julius K. Nyerere Sasa ndo yanatokea