Unasema MCHEPUKO hauna alikili lakini umezaa nao watoto wawili bro are you serious kweli?! Wewe uliacha nyege zikutawale na sio akili saa hii unaanza kumlaumu mchepuko?! Wewe ndio mjinga sio huyo demu. Na hata ukimfungulia biashara unauhakika anaweza mudu biashara?!
Mi nachojua mabweni ya kike Kuna matron wao. Kwa shule kubwa ka pandahil haingii akilini kukosa matron Hadi mwalim jimmy aingie kwenye bweni la kike. Kuna Jambo hapo halipo sawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.