Recent content by BLACKTIGER

  1. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Siri ya Heche na DGIS yatikisa CHADEMA

    Mmeachana na tone tone mmekuja kivingine!
  2. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Bibi alietembea kwa miguu ampe Rais zawadi ya kuku apewa gari

    Km 1000 mbeya to dar kwa bus na unafika umechoka balaa sasa huyo bibi kazikata km hizo kwa miguu?! huo sasa ni utoto au wanatuchukulia sisi ni mapimbi kama wao!
  3. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Nadhani huu ukumbatiaji wa wicknell kwa rais wa nchi haujakaa kiprotical , amemkumbatia vibaya na sidhani dini kama inaruhusu.

    Picha wapiga wao wanapost wao sisi tukicomment inakuwa nongwa wanatufungia mtandao wetu pendwa JF Anyway huyo bonge anaonekana ana upwiru wa kufa mtu!
  4. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Uchawà kazi kweli kweli.

    Chawa ukimwambia atembee hata uchi au avae bikini atatii tu!
  5. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Mwachieni Nchimbi mambo ya kuwekana vizuizini ni mambo ya kishamba

    Nchimbi atakuwa amepumzishwa kwa amani kwa maslahi mapana ya mbogamboga!
  6. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Hakuna cha ajabu Samia kupigiwa magoti na wanaume.

    Kwenye misiba mingi wamama huwa wanakaa chini kwahiyo utaenda mpaka pale alipo utashuka chini sababu mfiwa amekaa chini basi utampa mkono wa pole na maneno mawili matatu unasimama unasepa Sasa bi chura yeye amekaa kwenye kiti unampigiaje magoti!
  7. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Hata hao wachache wanatutosha!
  8. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya Ulinzi na Usalama, someni maandishi yaliyopo ukutani

    Tutaanza CDF Atafuata IGP mwisho DCI Hawa lissu awabane mbavu mpaka wateme bungo!
  9. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Hicho kibuyu kipasuke tu huko mzena.

    Mambo yanakimbia haraka haraka ngoja tusubiri filimbi ya mwisho!
  10. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Rais Samia afarijiwa na Mwamposa, Kapola

    Matapeli wameenda kumfariji mwenzao!
  11. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Hivi kwani kutongoza/kutongozwa ni kosa kisheria kwa mtu juu ya miaka 18?

    Hao ndio viongozi wa mbogamboga ni empty brain!
  12. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Madeleka: Nitakwenda Tabora kumtetea Sophia, kumtongoza Mkuu wa Mkoa siyo Jinai

    Aisee hiki ki nchi kina mambo!
  13. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Jaji Joseph Sinde Warioba atastaafu lini?

    Mzee wa ovyo ni babu yenu wassira!
  14. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Maswali ambayo watanganyika wanapaswa kujiuliza kuhusu Muungano na Tanganyika

    Karume kawaachia wanzibari nchi Nyerere katuachia muungano wa ovyo!
  15. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Kumbe Marehemu ameacha wajane wawili!

    Kwa akili za bi chura lazima ni sparetyre tu!
Back
Top Bottom