Km 1000 mbeya to dar kwa bus na unafika umechoka balaa
sasa huyo bibi kazikata km hizo kwa miguu?!
huo sasa ni utoto au wanatuchukulia sisi ni mapimbi kama wao!
Kwenye misiba mingi wamama huwa wanakaa chini
kwahiyo utaenda mpaka pale alipo utashuka chini sababu mfiwa amekaa chini basi utampa mkono wa pole na maneno
mawili matatu unasimama unasepa
Sasa bi chura yeye amekaa kwenye kiti unampigiaje magoti!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.