Recent content by BLACKTIGER

  1. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Bilionea Joseph Mbilinyi (Sugu) azindua Bureau De Change ya Kisasa Jijini Dar es Salaam

    _kimziki _kisiasa _kibiashara n.k
  2. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Tabia za ajuza

    Umesahau bi chura anapenda taarab michambo na vijembe na visu, mashoka na mapanga!
  3. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Mene, Mene, Tekeli na Peresi": Maandishi Ukutani Kuhusu Nyufa na Ugomvi wa Ndani ya CCM

    Kama mbogamboga watatoboa mpaka 2030 Ntaachana na mambo ya siasa kabisaa!
  4. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Bilionea Joseph Mbilinyi (Sugu) azindua Bureau De Change ya Kisasa Jijini Dar es Salaam

    Huyu bro kapambana sana mpaka kufikia hapo alipo namfahamu sana wadogo zake nimesoma nao Big up bro umekuwa mfano wa kuigwa kwa madogo wengi hapa MBEYA.
  5. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Chama cha Upinzani Namibia chapinga uteuzi wa Jaji Damaseb kuwa Mjumbe wa Tume ya Jaji Lila

    Huyu bi chura pona yake ni bora akate moto tu Dunia imeshamkataa!
  6. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anazindua Tume ya Rais ya Uchunguzi wa wahusika wa ghasia wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025

    Tume ya chande na mapimbi wenzie mpaka leo hawana majibu ambayo yapo na yanajulikana 29oct kulitotokea nini Sasa tena inaundwa tume nyingine? Huyu bi chura na genge lake trick yao ni ku buy time tu siku zisonge!
  7. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Kumekucha! Vijana wa gen-z wanapigania sana Tanganyika. Safari hii vipeperushi ni vya kudai uhuru wa tanganyika

    Tanganyika lazima irudi ni suala la muda tu!
  8. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Polisi Bariadi wafafanua video ya Askari na Bodaboda aliyekuwa na Magunia ya Alizeti

    Jeshi la wahuni wa CCM.
  9. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Na wale walipigwa risasi wakiwa majumbani mwao walikuwa ni watoto wa Heche wee ni pimbi empty pumpkin head! ama out.
  10. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Ungekuwa umekufa wewe au ndg yako 29oct na uhakika usingeandika pumba kama hizi!
  11. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Dr. Lwaitama: Walioshiriki Uchaguzi Wanaridhiana Nini?

    Kila tar 29oct kuwe na maandamano ya kuwakumbuka ndg na jamaa waliouwawa kinyama.
  12. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Swali ni moja wewe ulishawahi kumuona mungu au kukutana nae? Na kama mlikutana nae yupoje?
  13. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Ni kabila lipi lina watoto wazuri?

    Uzuri wa mtu au kitu ipo kwenye macho ya mtazamaji!
  14. BLACKTIGER

    JamiiForums Tanzania Scientific fact na knowledge Thread

    Kwa hiyo mpaka sasa tupo kwenye ile particle iliyolipuka ikatekengeneza space? au tupo kwenye particle ambayo haina space rejea maana ya spacei
Back
Top Bottom