Recent content by BLACKTIGER

  1. BLACKTIGER

    Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    Sababu ki uhalisia na nature ya dunia yetu hakuna kitu kinatokea kimiujiza Mfano huwezi sema 'mvua nyesha' msimu was kiangazi Hii dunia Ina mpangilio wake na upo hivo Sasa yeye anawezaje kuubadili? Ana shida kichwani!
  2. BLACKTIGER

    Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    Hata Mimi nahisi huyu ni mgonjwa!
  3. BLACKTIGER

    Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

    Hiyo ni ndoto tu ya kawaida tu Labda ikijirudia zaidi ya Mara moja hapo Kunakuwa na shida.
  4. BLACKTIGER

    Nashindwa kuelewa tukio hili ambalo nimekutana nao

    Hayo no mauza uza tu Kuna mmea flani was pori ukiuponda ukachanganya na maji kikombe kimoja..ukanywa Ukawekewa kitambaa cheupe(TV asili) utaona video picha na sauti za Kila Aina kutegemea na ubongo wako Tunaita mauza uza au maluweluwe Hicho ndo ulichokiona wewe!
  5. BLACKTIGER

    Ripoti ya Waislamu 9 waliotuhumiwa kwa Uhujumu uchumi - Jumatatu tarehe 16/03/2026

    Kwahiyo walikuwa jela tangu 2022? Hapa Tz unapewa kesi, unasota jela miaka kibao kesi Haina ushahidi baadae wanakuachia Unatoka jela umechoka vibaya mno... Mapimbi Hawa!
  6. BLACKTIGER

    Paul Makonda: Mimi Ni Waziri wa Habari Lakini Naweza Kugeuka na Kuwa Waziri Wa Mambo Ya Ndani na nikakutupa Central Police ukalale Huko

    Kuna hoja gani hapo umejaza mashudu tupu Yaani natumia VPN na bando langu kujibu upupu km huo Kwanza ngoja ni ku ignore pimbi wee unanipotezea muda wangu tu.
  7. BLACKTIGER

    Paul Makonda: Mimi Ni Waziri wa Habari Lakini Naweza Kugeuka na Kuwa Waziri Wa Mambo Ya Ndani na nikakutupa Central Police ukalale Huko

    Wee pimbi unazingua kweli sijui una umri gani lkn kazi yako hii ni ya kingese Sana!
  8. BLACKTIGER

    Rais wa Iran akitembea huru na kuhudhuria maandamano makubwa huko Tehran leo 13/03/2026

    Muda na namba huwa hazidanganyi ngoja tusubirie majibu!
  9. BLACKTIGER

    Sauti ya jasiri Walyamungu ilivyolikoa taifa la Uganda kuingia kwenye upuuzi mkubwa

    Mboga mboga hawana hata ujasiri wa kunyoosha kidole juu wote wamefichwa mifukoni Kazi yao ni kupamba na na kusifu mapimbi menzao ya kijani!
  10. BLACKTIGER

    Mchengerwa Ashinda Tuzo Ya Mbunge Bora Afrika Na Carribean

    Kwanini wasimpe ya dunia kabisa nkwilima wa bi Chura!
  11. BLACKTIGER

    Kijana wangu alisoma Diploma in Forensic Science lakini yupo mtaani mwaka wa 3 sasa

    Shida elimu yetu tunaisotea mwi Ungempeleka VETA angekuwa fundi mkuu Inauma Sana kuwekeza elimu kwa mtoto mwishoni anarudi mtaani na kufanya kazi na manunda waliokimbia shule?
  12. BLACKTIGER

    Msaada wa dawa kwa anaejua!

    Ningekuwa huko ningekutumia ni dawa nzuri ngoja nijaribu kumtafuta mtu ambaye yupo huko.
Back
Top Bottom