Sababu ki uhalisia na nature ya dunia yetu hakuna kitu kinatokea kimiujiza
Mfano huwezi sema 'mvua nyesha' msimu was kiangazi
Hii dunia Ina mpangilio wake na upo hivo Sasa yeye anawezaje kuubadili?
Ana shida kichwani!
Hayo no mauza uza tu Kuna mmea flani was pori ukiuponda ukachanganya na maji kikombe kimoja..ukanywa
Ukawekewa kitambaa cheupe(TV asili) utaona video picha na sauti za Kila Aina kutegemea na ubongo wako
Tunaita mauza uza au maluweluwe
Hicho ndo ulichokiona wewe!
Kuna hoja gani hapo umejaza mashudu tupu
Yaani natumia VPN na bando langu kujibu upupu km huo
Kwanza ngoja ni ku ignore pimbi wee unanipotezea muda wangu tu.
Shida elimu yetu tunaisotea mwi
Ungempeleka VETA angekuwa fundi mkuu
Inauma Sana kuwekeza elimu kwa mtoto mwishoni anarudi mtaani na kufanya kazi na manunda waliokimbia shule?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.