Huyu bro kapambana sana mpaka kufikia hapo alipo
namfahamu sana wadogo zake nimesoma nao
Big up bro umekuwa mfano wa kuigwa kwa madogo wengi hapa MBEYA.
Tume ya chande na mapimbi wenzie mpaka leo hawana majibu ambayo yapo na yanajulikana 29oct kulitotokea nini
Sasa tena inaundwa tume nyingine?
Huyu bi chura na genge lake trick yao ni ku buy time tu siku zisonge!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.