Recent content by Blacktalk

  1. B

    JamiiForums Tanzania NINI DHANA YA CHAMA CHA MAPINDUZI NA SERIKALI YAKE?

    Binafsi nashangazwa sana na mambo ya CCM na serikali yake, juzi tumeona wakiwa kwenye mkutaao wao mpaka watu wao walibebwa na gari la polisi lakini leo ajabu polisi haohao wanaagizwa na serikali kuzuia mkutano wa Chadema. CCM ni chama tawala na ndicho kilichoshikilia dora, je ni nini shida yao...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

    Ulitaka waanze kupigana?
  3. B

    JamiiForums Tanzania Uchu wa madaraka

    Madaraka yanawapa kichwa sana viongozi waliopo kwenye dora kufikia hatua mpaka kujipa utukufu kuona wengine hawana thamani ya kuishi. Kupindi vyama pinzani vinapitia masurubu mpaka kufika kupotezewa uhai kwa baadhi ya viongozi wa upinzani na wanachama CCM na genge lake wao walipongezana na...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Njombe: Mwenyekiti wa Kijiji kupitia CCM akimbia ofisi baada ya kupokea vitisho

    Wanayatafuta sana wakati wa kuyapata ndiyo huu.
  5. B

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Biashara ya kujiuza Mwanza ni kero, Mamlaka na Polisi wanapotezea, Watoto wanashuhudia mambo ya ajabu

    Wanawake/mabinti wamejikosea thamani kifupi jinsia hii imekwisha potea hata huku nilipo ni shida kubwa kifupi kama taifa tunapitia kipindi kigumu sana.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kandarasi nyingi kuchukuliwa na wachina, ni ubora au unafuu wa gharama?

    UONGOZI NA RUSWA! Rushwa inazid kuwa tatizo kubwa kwenye uongozi wenye nacho wanazid onekana kuwatawala wasionacho na hii hutokana na viongoz walioshikilia madarak kuendeshwa na tamaa ya fedha kuliko utu wa wananchi,, NIGUSIE UONGOZI WA KURUGENZI YA WILAYA YA MISUNGWI MKOANI MWANZA,, hapa kuna...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Tusio na adui wa kudumu tunasimama na Dkt. Slaa

    Pamoja
  8. B

    JamiiForums Tanzania CHADEMA msilete longolongo - Dai dume ni KATIBA mpya na Tume Mpya ya Uchaguzi

    Naww kumbuka una wajib kama mwananchi
  9. B

    JamiiForums Tanzania Wanasheria kufungua Kesi ya kutaka Dkt. Slaa na wenzake wafikishwe Mahakamani

    Kinachotengenezwa na CCM,kwa sasa ni kuvipa furusa vyombo vya ulinzi ipo siku vitatumia hiyo faida kurudisha fadhira kwa wananchi hasa jeshi litakapokuja kubadil mawazo sijui nn kitatokea, ngoja safar hii haita kuwa ya karne nyng kwa nchi hii
  10. B

    JamiiForums Tanzania Wajinga na wanafiki Wanapozurula nchi nzima kutaka kuwaelimisha Wananchi

    Wamapitiliza kwenye ujinga, kwanza wanazid tumia rasilimali za wananchi kwa mambo yao ya kijinga kwa kusomba watu kupeleka kwenye mikutano yao kweli ni ujinga zaid ya ujinga iman yao kwa wat imekwisha potea zaid wanabak kutapanya fedha za umma ovyo ahali wat wanatabu nying mtaani,CCM laan hii...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Leo FaizaFoxy najivika rasmi joho la upinzani tena CHADEMA

    Haha nikafikir ana content muhim kumbe bure
  12. B

    JamiiForums Tanzania Familia ya Karume imetengwa?

    Issue siyo wao kutengwa ila wameamua kusimamia mising ya utambuzi na uwajibikaji wa haki kwa kufuata misingi ya haki na usawa na hiyo ndy imekuwa sumu kali kwa walinda tumbo
  13. B

    JamiiForums Tanzania Majaliwa akiwa Rais ataleta nidhamu na Uwajibikaji . Anafaa sana

    Haiwez kuwa sawa yeye ndiye mtendaj mkuu wa serikali lakin amejawa na uongo sana kwenye suala la magufuli alisema uongo bado kwenye bandari pia hvyo huyo siyo kiumbe wa kuaminiwa...., ua tuseme nae anamuogopa nani kama Mama???
  14. B

    JamiiForums Tanzania Kandarasi nyingi kuchukuliwa na wachina, ni ubora au unafuu wa gharama?

    Hivi huwa najiuliza sababu ya kandarasi nyingi kushikiliwa na wachina kwa nchi yetu Tanzania ni ubora wa kazi zao au unafuu wa gharama zao?
  15. B

    JamiiForums Tanzania Profesa Anna Tibaijuka: Hili zimwi (Mkataba wa bandari) lilipitaje kutiwa sahihi Ikulu na bungeni?

    Vijana weng hawana future hao ndy wanasema iuzwe au isiuzwe ilimrad mm nakula basi!!, wanashindwa kuwa serious na vitu vya msing kazi kupiga puchu tu ndy maana hawa wahun wanatuwin sana
Back
Top Bottom