NINI DHANA YA CHAMA CHA MAPINDUZI NA SERIKALI YAKE?

NINI DHANA YA CHAMA CHA MAPINDUZI NA SERIKALI YAKE?

Blacktalk

Member
Joined
Jun 18, 2023
Posts
17
Reaction score
28
Binafsi nashangazwa sana na mambo ya CCM na serikali yake, juzi tumeona wakiwa kwenye mkutaao wao mpaka watu wao walibebwa na gari la polisi lakini leo ajabu polisi haohao wanaagizwa na serikali kuzuia mkutano wa Chadema. CCM ni chama tawala na ndicho kilichoshikilia dora, je ni nini shida yao kwa Chadema!? Chama kinachojitegemea na kujipambanua kwa upekee pasipo kutegemea promo kutoka kwenye makundi tofauti kama wasanii, nk? Kifupi CCM imekufa yenyewe thus why wanaona kuwakiwa joto hili suala lazima litanyong'onyesha afya ya nchi na mwisho wake tutaangukia kwenye machafuko yatakayo kuja kuleta maafa makubwa kwa nchi, CCM wajitafakari tabia za kukaza [emoji88][emoji88] itawagharimu
 
Binafsi nashangazwa sana na mambo ya CCM na serikali yake, juzi tumeona wakiwa kwenye mkutaao wao mpaka watu wao walibebwa na gari la polisi lakini leo ajabu polisi haohao wanaagizwa na serikali kuzuia mkutano wa Chadema. CCM ni chama tawala na ndicho kilichoshikilia dora, je ni nini shida yao kwa Chadema!? Chama kinachojitegemea na kujipambanua kwa upekee pasipo kutegemea promo kutoka kwenye makundi tofauti kama wasanii, nk? Kifupi CCM imekufa yenyewe thus why wanaona kuwakiwa joto hili suala lazima litanyong'onyesha afya ya nchi na mwisho wake tutaangukia kwenye machafuko yatakayo kuja kuleta maafa makubwa kwa nchi, CCM wajitafakari tabia za kukaza [emoji88][emoji88] itawagharimu
CCM sasa hivi inaongozwa na watu wasio kuwa na uchungu wowote na nchi hii na wananchi wake. Jambo muhimu kuliko yote kwa viongozi hawa ni kulinda maslahi yao kwa njia yoyote ile, hata ikilazimu kuiingiza nchi kwenye janga kama hilo litawabakisha madarakani.

Jambo muhimu sasa hivi ni kwa waTanzania kutambua nia hii ovu ya viongozi hawa. Wananchi wa kutosha wakilielewa vizuri jambo hili, itasaidia sana kuepusha tafrani inayo linyemelea taifa letu sasa hivi; kwani ni wananchi hao ndio watakao zuia ujinga huu unao andaliwa na viongozi hawa wabovu kabisa.
Hiyo "dola" inayotumiwa na hawa viongozi haiwezi kwenda kinyume na matakwa ya wananchi wenyewe. Viongozi wateuliwa wa hiyo "dola" wanajuwa wazi kuwa wao ndio watawajibika moja kwa moja iwapo watasababisha maafa kwa wananchi wa nchi hii.
 
Back
Top Bottom