Mtu mweusi hawezi kujitawala hapo mtu anakosa mkopo kwa sababu ya 15k tu wakati hiyo ni biashara na mtu ameweka dhamana kwanini wasikupige hata penati tu.
Leo wanalialia Tanzania hakuna ugaidi huku bado wanaendelea kukamata watu kwa kesi za ugaidi na vyombo vya habari vinaandika "watu kadhaa wakamatwa kwa kesi za ugaidi" hii nchi kweli inahitaji uponyaji 😁
Wengi hamjamuelewa Nchimbi Taifa hili bado lina watu wanamapenzi nalo na wanaumia sana kuona vile mambo yanaendeshwa na wanaona kuna kikundi cha mafisadi kinataka kujimilikisha rasilimali zote za taifa hili haiwezekani ccm wote wakawa wabaya, ndiyo maana Nchimbi kasema katiba isipo patikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.