Recent content by blackstarline

  1. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Wamasai wenye rasta walitulizwa na Masai rapa, mwenda pole hajikwai, alijikwaa baada ya kutegwa na jiwe kubwa, hakunyanyuka tena!

    Huu uzi ukitaka kuuelewa vizuri usome wote pamoja na coment za wadau then rudi kuusoma upya utapata %100
  2. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Wabongo hawana ubunifu kwenye biashara zao na maisha kwa ujumla

    Bongo kila kitu ni ilimradi liende hakuna penye afadhali mama yetu tunaambiwa yupo eda lakini kila siku yupo kwenye kumbatio
  3. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Alikubamiza miezi nane gerezani, leo mmekuwa marafiki wa kufa na kuzikana

    Mbowe kasababisha watu wengi sana kuuwa na kutekwa na wengine kufungwa kwasababu za ya udalali wake. Hakika damu za watu zitamlilia yeye na kizazi chake chote.
  4. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe afika Kizimkazi kumfariji Samia Suluhu Hassan aliyefiwa na Mumewe

    Naye kapiga goti kama chalamila
  5. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Naomba kumpa pole mke mkubwa wa mzee Hafidh Ameir mjane aliyetengwa na waombolezaji wakiwamo viongozi na dini

    Vipi TEC wametoa salamu zozote za pole?
  6. blackstarline

    JamiiForums Tanzania JK akutana na mkurugenzi wa sasakawa peace

    Baada ya kuzushiwa kifo kafosi aonekane, kifo ni noma sana
  7. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ni kweli Mzee Kikwete kazuiwa kuingia kwenye nchi za Kimagharibi hasa Marekani?

    Kumbe huyu Aweso kachaguliwa uwaziri wa maji mara 2 kumbe nyuma yake yupo jk? Dah inawezekana wateuliwa wote ni watu wake
  8. blackstarline

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto na unyonyaji wa wafanyakazi - Jambo Group of Companies, Shinyanga

    Mwarabu ukiondoa rangi yake ni Nyani aliyechangamka
  9. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Yanayofichwa ni haya: Wabongo walioletwa kutoka S.Africa wengi ni vichaa na mateja

    Siku maandamano yakitokea hawa ndiyo watakuwa moto sana maana hawana cha kupoteza serikali ijishike
  10. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Kiti kung'ang'aniwa 2030

    Hakika huyu mtu hatatoka na kutakuwa kusalitiana pakubwa sana
  11. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Mbunge ashauri Chama Cha Mapinduzi kumpitisha Dkt Samia kama mgombea wa uraisi 2030

    Nafikiri hii tungeenda nayo kwamba samia atawale milele na anafaa ili tumpandishe na mabosi zake jk ambaye anapambana mwanae akalie kiti
  12. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Saed Kubenea ni afisa wa Tiss? Habari zake huwa ni kweli 100% zaidi ya Britannica

    Kule Tiss kuna watu pia roho zinawauma namna nchi inavyoendeshwa, hivyo kwasababu wao hawawezi kusema ndiyo wanawapenyezea watu kama Kubenea, Mange nk.
  13. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Kwa vile Jakaya Kikwete yupo hai nina amani ya moyo, nalala usingizi unaisha

    Utakuwa wewe ni kobasi maana mnaangalia mambo kijuu juu tu tena baada ya kushiba tende na aluwa kama Jusa
Back
Top Bottom