Recent content by blackstarline

  1. blackstarline

    JamiiForums Tanzania TEC walijadili hatma ya lissu kikao cha juzi?

    Mwaipopo tulia basi, jilambe mdomo tena
  2. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi: Hii ni haki kweli? Nimelipa deni, lakini bado nakataliwa mkopo

    Mtu mweusi hawezi kujitawala hapo mtu anakosa mkopo kwa sababu ya 15k tu wakati hiyo ni biashara na mtu ameweka dhamana kwanini wasikupige hata penati tu.
  3. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Ben Pol: Ukikutana na mazingira haya kwa mtu unayetaka kuanzisha nae mahusiano, ni bora uwe single

    Ben inabidi awekwe kikao juu ya yule mwanamke milionea wakenya nini kilitokea akashindwa kutuwakilisha
  4. blackstarline

    JamiiForums Tanzania SGR Ina shida mahali, unapofanya booking unakuta karibia siti zote zimejaa ila unapokuja kuingia ndani ya behewa unakuta nusu ya siti hakuna watu?

    Kwanini siti hiyo hiyo isikaliwe mfano mtu anatoka Dar au Dom anashukia moro na mwenye siti hiyo anapandia moro kuelekea Dar au Dom
  5. blackstarline

    JamiiForums Tanzania AM Grain Store

    Vipi mkuu hii biashara kwa anayeanza ipoje kuna faida au ndiyo mauzauza ?
  6. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Hata kama uko nje ya nchi usiamini sana watu wa karibu ndo wauza Taarifa na kukamatishana

    Ila hapa kati huyu Rachel alianza kumsifia maza na kuwaponda wapinzani au alipewa dau kubwa ambalo bila kujua nae akazuzuka walengaji wakamnasa.
  7. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Namba 2 kaandika barua ya kukaa pembeni
  8. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaiomba Marekani kuiondolea vikwazo vya Viza

    Us kawauliza kwanini mlienda Urusi ? Kombo kabaki kutoa macho kama kabudi
  9. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Katambi alipoka majukumu ya baraza la usalama ya kutangaza hali ya hatari

    Leo wanalialia Tanzania hakuna ugaidi huku bado wanaendelea kukamata watu kwa kesi za ugaidi na vyombo vya habari vinaandika "watu kadhaa wakamatwa kwa kesi za ugaidi" hii nchi kweli inahitaji uponyaji 😁
  10. blackstarline

    JamiiForums Tanzania 2030 Kuna watu watakimbia hii nchi. Hifadhini maneno haya

    Hasa yule shehe mwaipopo sijui itakuwaje hajifunzi tu kwa musibu
  11. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Sawa Kikwete waweza kuwa huongozi nchi kwa remote ya Zanzibar lakini vetting ya 2015 itakutafuna

    Kama alihusika na haya yanayo endelea basi Karma haitamuacha salama yeye na kizazi chake
  12. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Nchimbi umetumwa kutuuza, Oktoba 29 tulipambana mkatupiga risasi ukatutelekeza

    Wengi hamjamuelewa Nchimbi Taifa hili bado lina watu wanamapenzi nalo na wanaumia sana kuona vile mambo yanaendeshwa na wanaona kuna kikundi cha mafisadi kinataka kujimilikisha rasilimali zote za taifa hili haiwezekani ccm wote wakawa wabaya, ndiyo maana Nchimbi kasema katiba isipo patikana...
Back
Top Bottom