Recent content by blackstarline

  1. blackstarline

    Kwanini Watanzania mnacheka busara za mama 😅

    Mwenyewe ile nyimbo mpya ya shangaji kaja tafadhali aipandishe hapa
  2. blackstarline

    Netanyahu "Bibi" Jioni hii Kapost kwenye Mtandao wa X

    Safarihii kobasi wamepatikana inashangaza yale ya 29october hawayaoni ila ya Iran ndiyo yanawaumiza.
  3. blackstarline

    Musoma: Polisi Wawatawanya kwa Mabomu ya machozi BAWACHA

    Laana nyingine huyu sa100 anazitaka mwenyewe tu
  4. blackstarline

    Hivi Kuna ushahidi wowote Yesu alikuja duniani or it's just a conspiracy theory ya watunga stori?

    Wewe umejuaje kama hiyo miaka 2000 pale Israel walikuwa ni waarabu? Ulikuwepo nyakati hizo?
  5. blackstarline

    Hivi Kuna ushahidi wowote Yesu alikuja duniani or it's just a conspiracy theory ya watunga stori?

    Ni ngumu kuelewa kama husomi biblia na kuelewa ujumbe uliomo. Na biblia ukitaka kuelewa inakupasa usome kwanzia mwanzo hadi mwisho siyo kwa kuruka ruka kama wachungaji wanavyo fundisha watu wakasome sijui mstari flani nk. Hapo mtu hawezi kuelewa kamwe atakuwa mtumwa milele l.
  6. blackstarline

    Hivi Kuna ushahidi wowote Yesu alikuja duniani or it's just a conspiracy theory ya watunga stori?

    Ni kwamba haitoshi kusema Yesu alikuja dunia, nikwamba Mungu mwenyewe alikuja kwa umbo la mwanadamu ili kusema naye kama ilivyokuwa desturi yake wakati wa Adam. Pia kujitoa kafara ili kumkomboa mwanadamu na mauti ya milele, kumbuka Mungu alitaka kujidhiirisha yeye ni muweza wa yote. Mwanadamu...
  7. blackstarline

    Hivi Kuna ushahidi wowote Yesu alikuja duniani or it's just a conspiracy theory ya watunga stori?

    Soma biblia utaelewa yote yanayo kusibu. Anzia kitabu cha mwanzo
  8. blackstarline

    Mzee Butiku: Tukubali tunaye Rais

    Hii anawajibu Katoliki jinsi walivyo mtendea sa100. Nadhani hawa wazee wanang'ata na kupuliza wao wenyewe hawapendezwi na huyu mama ni basi
  9. blackstarline

    Gerson Msigwa: Meli iliyokamatwa na Cocaine El Salvador imesajiliwa Zanzibar, na tayari imefutiwa usajili

    Ndiyo maana waliforce kuchukua bandari vile ndiyo milango yao yakupitishia vitu vya moto, Tiss sijui wapo wapi ?
  10. blackstarline

    Kwa nini apewe nafasi kwenda kuaga mwili wa marehemu Kadinali Pengo wakati alishatamka watu wa TEC wanamchukia na yeye ana kinyongo?

    Hakutambulishwa kama wengine kitima kasema "atajitambulisha mwenyewe" niliona kama uso umemshuka sana
  11. blackstarline

    Katika Imani, Je, mtuhumiwa uhalifu alie gerezani mahabusu anaruhusiwa kufunga kwarema au ramadhani?

    Vipi kwa yule akiyeua maelfu ya watu naye anaruhusiwa kufunga?
  12. blackstarline

    Samahani JF, Askofu Bagonza hapa ana maana gani? Nini kimetokea kwa Salum Mwalimu?

    Hivi Salum angeshinda uraisi angekuwa ni raisi asiye na mke ? Au huyu ni mke wa pili
Back
Top Bottom