Ni ngumu kuelewa kama husomi biblia na kuelewa ujumbe uliomo.
Na biblia ukitaka kuelewa inakupasa usome kwanzia mwanzo hadi mwisho siyo kwa kuruka ruka kama wachungaji wanavyo fundisha watu wakasome sijui mstari flani nk.
Hapo mtu hawezi kuelewa kamwe atakuwa mtumwa milele l.
Ni kwamba haitoshi kusema Yesu alikuja dunia, nikwamba Mungu mwenyewe alikuja kwa umbo la mwanadamu ili kusema naye kama ilivyokuwa desturi yake wakati wa Adam. Pia kujitoa kafara ili kumkomboa mwanadamu na mauti ya milele, kumbuka Mungu alitaka kujidhiirisha yeye ni muweza wa yote.
Mwanadamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.