AM Grain Store

AM Grain Store

Wee acha tuu...... Ila support tuu ukisema nikuajiri wakati na mi hapa nina miezi bado nahangaikia ajira hapa AM GRAIN STORE yaan yaaan yaani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na sio mda tabeba madumu ya mafuta kwenda nyumba kwa nyumba dadek..

Ka unaweza tuingie mtaani
Naweza kubeba Hadi viroba vya Mchele.
 
Mkuu, ukiangalia tu Kwa haraka haraka unaona hiyo kazi inalipa vizuri kuliko ile ya kuwapeleka mishangazi katika upeo wa furaha?
Hapa naumwa mbavu aiseee
Ann jana nimejua kujitoa akili an nimepeleka moto huo kiasi ambacho yule kiumbe asbhi natoka anatuma sm anasema kijana umenifurahisha maara kijana utaniuwa..

Mkuu nafanya biashara huku nazingatia mashangaz pia
 
Hapa naumwa mbavu aiseee
Ann jana nimejua kujitoa akili an nimepeleka moto huo kiasi ambacho yule kiumbe asbhi natoka anatuma sm anasema kijana umenifurahisha maara kijana utaniuwa..

Mkuu nafanya biashara huku nazingatia mashangaz pia
Safi sana, kwa kimimbo hiyo inaitwa economic diversification.

Sasa umekuwa kama msumeno, unakata kila upande πŸ‘
 
🌾 AM GRAIN STORE - CHANIKA 🌾

Tunauza NAFAKA BORA jumla na reja reja kwa bei nafuu!
πŸ“ Tupo: Chanika, Dar es Salaam
πŸ“¦ Tuna: Mahindi, Maharage, Mchele, Mafuta, Unga, nk.

βœ… Bei ya jumla kwa wafanyabiashara
βœ… Bei ya reja reja kwa matumizi ya nyumbani
βœ… Ubora umehakikishwa
βœ… Tunafanya na delivery ndani ya Chanika na maeneo jirani ya dar es saalam

Wasiliana nasi sasa: 0675545795
Karibuni sana πŸ™ Familia ya Jamii forum ku Sapport biashara ya kijana yenu

Vishu Mtata
View attachment 3647045
Tajiriiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom