Kagera sugar na serikali wanapaswa kukaa chini na kumaliza tofauti zao, kinyume na hapo wakulima wa miwa wanaendelea kuumia, hadi tarehe ya leo mashamba mengi yamejaa miwa, ni muda wa kuvuna ila kasi ya uvunaji ni ndogo sana, mvua zinaanza kunyesha na miwa itaharibikia shambani kama msimu...
Habari imenivutia sana umejua kuchanganya lugha na mvuto wa kipekee umejidhihirisha ,japo sijaweza kumaliza kusoma yote ila nitaendelea nayo. Asante sana
Ahhh umenikumbusha mbali sana kiongozi, mwaka fulani vijana wanapigishwa usaili kwa kazi fulani, kuna vijana machachari kutoka vyuo pendwa na vyenye hadhi iliyotukuka hapa nchini , na kumbe miongoni mwa wale vijana kuna mnyonge mmoja kutoka chuo fulani nadhani kile cha Mwanakondoo Ameshinda...
Milions of money wanazowekeza kununua mi dege inayotia hasara taifa kila mwaka wangewasambazia umeme watu kwa mkopo ikawa kila mwezi wanakata elfu kumi tu kupitia luku kwa muda fulani nadhani wangevuna pesa ya kutosha na wakati huohuo wakiboresha maisha ya wananchi, SERIKALI YETU INAKOSA WATU...
very nice, suala la umeme ni changamoto sana haswa kwa sisi raia wa kipato cha chini, hivi mkulima wa kawaida ambaye anao uwezo wa kulipa bill kuanzia elfu 5 hadi kwa mwezi tu unamwambie atoe milioni tano kufikishiwa umeme kwakwe itawezekana kwakk, kwanini serikali isimfikishie umeme alafu...
0ngea mambo mengine suala la umeme bado sana, asilimia kubwa umeme umefika ila asilimia kubwa sana watu hawana umeme na wahitaji ni wengi sana, serikali imeweza kufikisha umeme sehemu za mijini na sehemu yaliko makao makuu ya kijiji au vijiji na sehemu ambako kuna huduma za kijamii kama shule za...
Huu ndo uzi wangu bora kwa muda wa miaka 5 iliyopita na kwa miaka 6 ijayo. Umeongea jambo kubwa na la maana sana, kama leo ungekuwa unagombea nafasi yoyote ya ki utawala inayohitaji ushawishi wa jamii basi ungeniachia kazi ya kukunadi, Tumelia sana na TANESCO ili iweze kusaidia watu kupatiwa...
Tanesco hata kama siyo hasara lakini tanesco ni janga sana kwa taifa, haiwezekani wameshindwa kusambaza umeme nchi nzima kisa tu hawana nguzo na ukienda kwenye vituo vyao nguzo ziko chini zimerundikwa na kutafunwa na mchwa. Lakini pale Tanesco kuna magenge ya wezi ya kutisha. Tanesco bora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.