Recent content by Blacklight

  1. Blacklight

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuagiza Bidhaa kiwandani

    Naombeni msaada Kwa wenye uzoefu katika jambo hili.Nilikuwa nahitaji kuagiza ngano na mafuta ya kula Moja Kwa Moja kutoka kiwandani.Hivyo naomba kujua utaratibu wake upoje,wanaanzia pcs ngapi minimum,namna ya kuweka order na utofauti wa Bei maybe ukilinganisha na ya wholesalers Huwa inarange...
  2. Blacklight

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

    Bado unayo ?
  3. Blacklight

    JamiiForums Tanzania Maharage ya kyela

    Bado unahitaji mkuu?
  4. Blacklight

    JamiiForums Tanzania Je, unajua namna ya kusave faida kwenye duka au biashara nyinginezo ndogo ndogo?

    Survivorship bias,sitaki kukataa pia sitaki kukubali ila hapo hakuna uhalisia
  5. Blacklight

    JamiiForums Tanzania Daima mtu anayefaidika na ushindani ni mteja na siyo ninyi wafanyabiashara

    Kwenye Dunia hii ya mabeberu watu wanaoongoza kutengeneza hela ni wafanyabiashara, wakifuatiwa na watu wenye vipaji, kisha watu wenye taaluma zenye demand kubwa na kuendelea. Huenda this fact imewafanya watu wengi waamini biashara ni mlango wa nyuma wa benki, yaani njia ya kupata hela nyingi...
  6. Blacklight

    JamiiForums Tanzania Biashara ya duka la rejareja inahitaji roho ngumu

    Still unafanya hii biashara Ndugu tushauriane?
Back
Top Bottom