Niko hapa Kibaha barabara inatengenezwa yan hii barabara toka kitambo haiishi tuu dah magali hayatembei kabisa nimeganda apa masaa 2. fly over zinawahi kuisha ila hizi barabara ndogo ndogo inaweza kukaa ata mwaka af CCM OYEEEEEE UJINGA TUU
Pichani ni #Al-hajj Idi Amin Dada akiwa amebebwa na wazungu akizungushwa katika mitaa mbalimbli ya Jiji la kampala
nchini uganda. Hii picha inafichwa sana na wazungu kutokana na kitendo cha Iddi Amin.
#Idi Amin baada ya tukio hilo alisema Afrika tunaweza kuitawala Ulaya na Amerika kama ambavyo...
Juzi nilikuwa natoka Morogoro naenda Dar es salaam ilikuwa usiku mida ya saa 7 nikiwa na imani Magufuli alisharuhusu mabasi kutembea usiku na mchana.
Basi nililopanda lilikuwa OSAKA likiwa limetoka TABORA, basi safari ya kwenda Dar iliendelea mara baada ya abiria kuchimba dawa na mm...
sawa kaka sijui lakin nnavyo jua mm hakuna mshenz yyte ambaye ana mamlaka juu ya maisha ya mtu ata huyo raisi maisha ya mtu ni haki yake ya msingi ambayo haiwezi kuchukuliwa na mtu yyte yule
Askari wa bongo wakae wakijua kwamba ubinadam ni kitu cha kwanza kuzingatiwa kuliko kitu chochote kile hapa duniani na hao viongozi wanao wanyenyekea kiasi cha kuuwa au kuumiza watu wengine nao ni binadam kama jinsi walivyo wao.
Leo nimestajabu sana baada ya bodaboda mmoja kupigwa fimbo na...
Unakuta umefunga shule umekuja nyumbani kwenu kula likizo unamkuta baba yako hayupo unamuuliza mama yako kuhusu baba yako anakuambia baba yako yupo kazini Unakaa hapo nyumbani kwenu mwezi mzima Muda wote upo na mama yako.
Mara likizo imeisha baba yako anakukuta uko chumbani kwako unapanga...
Kweli leo nimeamini maneno ya mwanamziki wa kizazi kipya BANDO MC kwamba "ata chuo kuna wajinga ndiyo maana kuna mtihani" ni sahihi kabisa. Wazazi wengi wakitanzania wanaosomesha watoto zao vyuo vikuu huwa wana mtindo wa kuwapa watoto zao pesa za ada wakalipe wao wenyewe. Kwa asilimia kubwa mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.