blackcrow
Member
- Sep 24, 2020
- 21
- 43
Askari wa bongo wakae wakijua kwamba ubinadam ni kitu cha kwanza kuzingatiwa kuliko kitu chochote kile hapa duniani na hao viongozi wanao wanyenyekea kiasi cha kuuwa au kuumiza watu wengine nao ni binadam kama jinsi walivyo wao.
Leo nimestajabu sana baada ya bodaboda mmoja kupigwa fimbo na askari maeneo ya mgongoni akiwa anaendesha piki piki tena akiwa kasi kidogo na kuangukia mtaloni hapo hapo alivunjika mikono yote miwili na kupata majeraha mengine mengi makubwa huku askari hao wakimuangalia tuu bila kufanya lolote wasamalia wema waliita amburace na jamaa akabebwa kupelekwa hospital.
Sababu ya jamaa kupigwa eti aliingia barabarani wakati ambao alikuwa hajui kwamba magali yote yalikuwa yamesimamishwa kisa makamu wa rais anapita. hivyo bac msafara wa kiongozi una thamani sana kuliko maisha ya mtu hii atua tuliyo fikia ni mbaya sana na ubinadam unapotea kabisa serikali ipo kwaajili ya kulinda watu na sio kuuwa watu tena watu hao hao ambao wana piga kula na kuwaingiza madarakani leo wanakuwa ni watu wa kufanyiwa unyama.
Haki iko wap jamana sawa hakuna haki kiiivyo bac angalau watu wasiwe wanafanyiwa unyama hivyo hadharani tutambue maisha ya mtu yana thamani kuliko kitu chochote kile na ndiyo manaa katika orodha za haki za binadam haki namba moja kabisa ni kuishi na mengineyo
Leo nimestajabu sana baada ya bodaboda mmoja kupigwa fimbo na askari maeneo ya mgongoni akiwa anaendesha piki piki tena akiwa kasi kidogo na kuangukia mtaloni hapo hapo alivunjika mikono yote miwili na kupata majeraha mengine mengi makubwa huku askari hao wakimuangalia tuu bila kufanya lolote wasamalia wema waliita amburace na jamaa akabebwa kupelekwa hospital.
Sababu ya jamaa kupigwa eti aliingia barabarani wakati ambao alikuwa hajui kwamba magali yote yalikuwa yamesimamishwa kisa makamu wa rais anapita. hivyo bac msafara wa kiongozi una thamani sana kuliko maisha ya mtu hii atua tuliyo fikia ni mbaya sana na ubinadam unapotea kabisa serikali ipo kwaajili ya kulinda watu na sio kuuwa watu tena watu hao hao ambao wana piga kula na kuwaingiza madarakani leo wanakuwa ni watu wa kufanyiwa unyama.
Haki iko wap jamana sawa hakuna haki kiiivyo bac angalau watu wasiwe wanafanyiwa unyama hivyo hadharani tutambue maisha ya mtu yana thamani kuliko kitu chochote kile na ndiyo manaa katika orodha za haki za binadam haki namba moja kabisa ni kuishi na mengineyo