Kongowe mzee sioniko apa kibaha barabara inatengenezwa yan hii barabara toka kitambo haiishi tuu dah magali hayatembei kabisa nimeganda apa masaa 2. fly over zinawahi kuisha ila hizi barabara ndogo ndogo inaweza kukaa ata mwaka af CCM OYEEEEEE UJINGA TUU
Tupiako kapicha chalii yanguniko apa kibaha barabara inatengenezwa yan hii barabara toka kitambo haiishi tuu dah magali hayatembei kabisa nimeganda apa masaa 2. fly over zinawahi kuisha ila hizi barabara ndogo ndogo inaweza kukaa ata mwaka af CCM OYEEEEEE UJINGA TUU
Pole sana ndugu.niko apa kibaha barabara inatengenezwa yan hii barabara toka kitambo haiishi tuu dah magali hayatembei kabisa nimeganda apa masaa 2. fly over zinawahi kuisha ila hizi barabara ndogo ndogo inaweza kukaa ata mwaka af CCM OYEEEEEE UJINGA TUU
Napenda nikukumbushe ccm ndio walioleta flyoverniko apa kibaha barabara inatengenezwa yan hii barabara toka kitambo haiishi tuu dah magali hayatembei kabisa nimeganda apa masaa 2. fly over zinawahi kuisha ila hizi barabara ndogo ndogo inaweza kukaa ata mwaka af CCM OYEEEEEE UJINGA TUU
Wenzio wenye akili wakitokea Tegeta huwa wanapita Bagamoyo, Msata, Nsoga, Ubena Moro.Kuna siku nilitoka hapo Mbezi saa Tisa Alasiri, nilikuwa na familia tunawahi kwenye harusi Morogoro. Tulikuwa na Private Car. Mpaka saa tatu usiku ndo tulifika Picha ya Ndege, karibia na kwa Martias, Tukageuza Gari tukarudi nyumbani Tegeta. Tulishindwa kuendelea na Safari. Tegeta tulifika saa Saba usiku.
Yan kulikuwa na bonge la foleni, Line zote mbili hazitembei.
Mkuu safari tulianza baada ya kutoka Kazini, nilimpitia Wife Mitaa ya Ubungo Kazini kwake. Hatukujua kama Moro Road itakuwa na foleni. Na ukiwa Ubungo ni ngumu kuwaza kuzunguka Bagamoyo.Wenzio wenye akili wakitokea Tegeta huwa wanapita Bagamoyo, Msata, Nsoga, Ubena Moro.
Usihofu Kaka. Kuanzia mwakani inshallah tutakua tunakwenda Moro kwa masaa matatu kutumia reli ya viwango SGR.Mkuu safari tulianza baada ya kutoka Kazini, nilimpitia Wife Mitaa ya Ubungo Kazini kwake. Hatukujua kama Moro Road itakuwa na foleni. Na ukiwa Ubungo ni ngumu kuwaza kuzunguka Bagamoyo.
Dah!Kuna siku nilitoka hapo Mbezi saa Tisa Alasiri, nilikuwa na familia tunawahi kwenye harusi Morogoro. Tulikuwa na Private Car. Mpaka saa tatu usiku ndo tulifika Picha ya Ndege, karibia na kwa Martias, Tukageuza Gari tukarudi nyumbani Tegeta. Tulishindwa kuendelea na Safari. Tegeta tulifika saa Saba usiku.
Yan kulikuwa na bonge la foleni, Line zote mbili hazitembei.
Mkuu hakuna mkoa wa Songea.Usitake liongezwe somo la geografia ya Tanzania.Waliotoka Mikoa ya Songea, Mbeya na Songwe na Rukwa (Sumbawanga) hapo wanataman washuke watembee kwa Miguu
Tegeta uwe unazungukia BagamoyoKuna siku nilitoka hapo Mbezi saa Tisa Alasiri, nilikuwa na familia tunawahi kwenye harusi Morogoro. Tulikuwa na Private Car. Mpaka saa tatu usiku ndo tulifika Picha ya Ndege, karibia na kwa Martias, Tukageuza Gari tukarudi nyumbani Tegeta. Tulishindwa kuendelea na Safari. Tegeta tulifika saa Saba usiku.
Yan kulikuwa na bonge la foleni, Line zote mbili hazitembei.
Hv lengo hasa la kuweka zege ni nini mkuu maana huyu mchina anakaribia mwaka hamalizi.Kwa muda huh Kama bado upo kwenye foleni bora ulaji pembeni upumzike maana huwenda ikafunguka mida mibovu
Tanroad sijui Wana shida gani na ubunifu, picha ya ndege kwa mathias na kongowe hakuhitaji barabara za zege bali under pass ambayo naamini ni cheap kuliko hilo zege wanalomwaga barabarani, foleni haitokaa iishe Miaka mia
😂😂😂😂 Litasaidia kizazi changuMkuu hakuna mkoa wa Songea.Usitake liongezwe somo la geografia ya Tanzania.
Yale maeneo lami ilikuwa imebonyea kutokana na mgandamizo, ikaweka kitu Kama matuta , so kuondoa hilo wameamua kuweka zege. ni kama vile mlima kitonga , mlima kolo kondoai na vipande fulani vya barabara ya ludewa , au ile barabara ya Maji chumvi kutoka kimara korogwe Hadi mabibo jeshini.Hv lengo hasa la kuweka zege ni nini mkuu maana huyu mchina anakaribia mwaka hamalizi.