Since nipo Chuo mpaka sahivi nipo mtaani Zaidi ya miaka mitatu sijawahi Kuona ama kusikia anyetumia JF.....
Ni wazi ukiachana na JF kuwa platform ya watu Makini but pia ni sehemu ya watu walitembea age kidogo
Ukiwa na akili timamu huwezi kumlaumu Rais Samia ......
Yeye Sio tatizo isipokuwa ni matokeo tu ....
Zima hisia washa akili ....
Hakuna external force inaweza kukusaidia kusolve yako ya ndani .....
Acheni ujinga watanzania...
Period
Hakuna kitu kinaitwa roho wala Nyota.....
Mambo ya spiritual ni sehemu ya mwafrika kuzidi kuwa nyuma kifikra na nyanja zote ........
Tuache Mambo ya kusadikika na Zaidi tujikite kwenye KUELEWA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.