Hakuna kitu kinaitwa roho wala Nyota.....
Mambo ya spiritual ni sehemu ya mwafrika kuzidi kuwa nyuma kifikra na nyanja zote ........
Tuache Mambo ya kusadikika na Zaidi tujikite kwenye KUELEWA
Habari za Majukumu na uzima Wakuu......
Hivi ni kweli ETV wamekuwa excluded kwenye list channels za AZAM TV ........?
Maana siku hizi ni miezi miwili vhivi iliyopita nkilipia vifurushi vya AZAM TVsioni kabisa channel ya ETV
Mwenye majibu tafadhali ...
Natanguliza shukrani .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.