Recent content by Black Pundit

  1. Black Pundit

    JamiiForums Tanzania Let's be careful with people we mix our soul with

    Thibitisha reality yake mkuu?
  2. Black Pundit

    JamiiForums Tanzania Let's be careful with people we mix our soul with

    Hakuna kitu kinaitwa roho wala Nyota..... Mambo ya spiritual ni sehemu ya mwafrika kuzidi kuwa nyuma kifikra na nyanja zote ........ Tuache Mambo ya kusadikika na Zaidi tujikite kwenye KUELEWA
  3. Black Pundit

    JamiiForums Tanzania Shuka kutoka kwenye wingu la “upendo na mwanga”

    Sijaambulia kitu ........ Nimetoka kapa😂
  4. Black Pundit

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole atazungumza na umma leo Agosti 08, 2025 saa sita mchana

    Na Leo Tena ..... Kuwe na bomu la maana sasa
  5. Black Pundit

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapito ya career woman

    Ok shukran mkuu But umejikita Sana kujenga hoja kumzunguka msomi yaan mwanachuo ......
  6. Black Pundit

    JamiiForums Tanzania Gusa achia twende kwao

    Mkuu siku hizi nimeanza kukuelewa kuhus hoja ya msingi kabisaaa... Usipuuwe
  7. Black Pundit

    JamiiForums Tanzania Watu Wenye Uzoefu Pekee Watakwambia Haya

    Shukrani Sana mkuu
  8. Black Pundit

    JamiiForums Tanzania Watu Wenye Uzoefu Pekee Watakwambia Haya

    Mkuu shukrani Sana ... Sorry naweza kuniambia source ya kupata haya Maarifa?
  9. Black Pundit

    JamiiForums Tanzania Black Magic: Siri ya kwanini Watu hupelekwa Makaburini na Waganga

    Ni somo complex na muhimu Shukrani Sana mkuu kwa kutuunganishia doti
  10. Black Pundit

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!

    Hujui chochote... Naona unaropoka tu... Ni Bora kukaa kimya kuliko kuongea Mambo ya kufikiria tu.
  11. Black Pundit

    JamiiForums Tanzania Nina kibamia, kinanitesa mpaka sitamani kuishi

    Change mindset Hivyo tu
  12. Black Pundit

    JamiiForums Tanzania EFM NDANI YA AZAM TV

    Nina apdate vipi mkuu? Steps please...
  13. Black Pundit

    JamiiForums Tanzania EFM NDANI YA AZAM TV

    Habari za Majukumu na uzima Wakuu...... Hivi ni kweli ETV wamekuwa excluded kwenye list channels za AZAM TV ........? Maana siku hizi ni miezi miwili vhivi iliyopita nkilipia vifurushi vya AZAM TVsioni kabisa channel ya ETV Mwenye majibu tafadhali ... Natanguliza shukrani .
Back
Top Bottom