Recent content by Black Panther X

  1. B

    JamiiForums Tanzania Ulipata milioni yako ya kwanza ukiwa na umri gani?

    Pesa zilipata matumizi hahaha... Kama kampuni nakaribia yangu kama yangu itakuja.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Ulipata milioni yako ya kwanza ukiwa na umri gani?

    Nilipata 1 mil nikiwa likizo ya form 4 kwa kuuza dawa za kupungua uzito... At 25 to 26 nikapata mil 560. Aisee muhimu sana kuwa makini na pesa vijana, pesa haikosagi matumizi
  3. B

    JamiiForums Tanzania Nini faida ya kumiliki gari?

    Hehe jibu hoja kwa hoja... Update ni kuwa nina gari sasa. Positives ni freedom na pride imeongezeka kidogo. Negative nilizotaja nilipoandika hili zote zipo thou kwa nature ya biashara zangu za sasa sina jinsi positives outweigh negatives.
  4. B

    JamiiForums Tanzania Nini faida ya kumiliki gari?

    Hehe sawa mkuu kipato kimenyooka sasa na ninalo. Advantage zipo ila hayo niliyosema hapo bado yapo.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

    Mods naomba mdeal na hii comment. MTFE ni ponzi scheme itayoishia kama ponzi scheme nyingine za Kalynda na kadhalika.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kibongobongo kumiliki milioni 100 kabla ya miaka 30

    Haya wakuu wacha niwasaidie hili. Please note siuzi chochote hapa na nasikitika sijibu dm zozote za msaada au maombi. Kama ni maswali nitayajibu yote hapa kadri ninavyoweza. Niko katika miaka ya 25-30 na net-worth yangu ni around 450 mil ongeza na punguza kwa sababu vingine sio liquid assets...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Naacha chuo nijikite biashara ya sarafu mtandaoni FOREX

    Kama fellow dropout, hakikisha hiyo biashara tayari inakuingizia kipato cha kutosha matumizi yako ya kila mwezi (angalau mara 1 na nusu ili uwe na savings). Iwe hivi kwa angalau miezi 3 iliyopita kuonesha ni kitu stable. Pia uwe na pesa pembeni ya kutosha at least mwaka wa matumizi usipopata...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Tunaowatoa watoto wetu shule za kiingereza njooni hapa tufarijiane

    Hamna kitu bora kumpa mtoto wako kama exposure. Nashukuru sana Mungu wazazi wangu waliona hili na kunipeleka shule bora kabisa Tanzania. Namna ya kufikiri ni tofauti na hata ile uwezo wa kujifunza ni tofauti say ukilinganisha Mazinde Juu na shule ya serikali ya kata Mtwara. Iwapo una uwezo wa...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Hivi matajiri wetu akina Bakhresa, Dewji, Rostam na Mbowe watashindwa kuendesha Bandari wakikabidhiwa? Kwanini Wawekezaji watoke nje?

    Hiyo sekta imekaa kisiasa sana. Mikono mingi itakuja kuomba chochote kitu. Instead watatu katika uliotaja wamewekeza katika import/export processing areas na oil depots. Wanamake billions kwa mauzo yearly bila usumbufu mkubwa na publicity.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri wakuu

    Tafuta kitu kinachokuvutia na anza kujifunza kitu hiko. Mfano kama ni upigaji picha, anza kujifunza hilo kwa undani... Kama kuna kitu ambacho tayari unajuajua, wekeza katika kutoa huduma ya kitu hiko. Kama wewe ni mzuri kwa Hesabu basi anza kutangaza kuwa unafundisha hesabu ya level flani...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Sijaelewa kuhusu Dkt. Mwigulu kukopa Trilioni 5 ili kulipia Hati Fungani za serikali zilizoiva

    Naomba link ya taarifa kamili kuhusu hili mkuu
  12. B

    JamiiForums Tanzania Wenzetu mmewezaje? Kijana mdogo miaka 30 ana maisha mazuri sana

    Hapana ndugu, kuanzia miaka 9 iliyopita mpaka sasa.
  13. B

    JamiiForums Tanzania Wenzetu mmewezaje? Kijana mdogo miaka 30 ana maisha mazuri sana

    Moja kwa moja sitaweza unfortunately. Ila aina doesn't matter sana. Principle yangu nayotumia ni aidha kitu nina interest nacho ama kitu ninaweza kuvumilia kupitia the learning process. Hivyo unaweza kuapply hili katika biashara yoyote utayoamua kuifanya. Kwanini? Vitu hivi viwili vitaongeza...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Wenzetu mmewezaje? Kijana mdogo miaka 30 ana maisha mazuri sana

    🤣 ukaona uchague violence ndugu. I have nothing to sell humu kama nilivyomention. Chagua kuamini unachotaka kuamini all I wish is to inspire some of you.
  15. B

    JamiiForums Tanzania Wenzetu mmewezaje? Kijana mdogo miaka 30 ana maisha mazuri sana

    Hapana bado. Some businesses nina partners na kuna expenses. Ila pesa iliyoingia kwangu straight ni mil 700 hivi mpaka sasa.
Back
Top Bottom