We huyo mtu mwenye hiyo kampuni anaitwa Said Lugumi kwao ni Magu Mwanza na ni mzawa kaanza zamani na biashara zake na katusua! Kaanza hata kabla ya huyo Ridhiwani hajaanza chuo .. Fanya utafiti
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
Hujui kusoma hata picha huoni!.. Umeona walivokuwa wakimkokota kama muhun stand?.. Yule ni mbunge Muheshimiwa yupo pale kwa niaba ya maelfu ya wananchi wa mbeya.. Jambo la kumvutavuta tena live kwenye televisheni ni uungwana?..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.