Recent content by BLACK MARXIST

  1. BLACK MARXIST

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Nchi inaendelea kuwa ya kijinga kadili siku zinavyokwenda. Sijui kizazi gani kitakuja kuwa na akili huko mbele na kuiokoa mama Tanzania.
  2. BLACK MARXIST

    Mbinu 5 Za Kisaikolojia Zilizokatazwa – Lakini Zinafanya Kazi Kama Uchawi

    Habari mkuu, nitajie vitabu vizuri vinavyohusu haya mambo. Ikiwezekana nitajie vitabu vyako bora vitatu kama hutojali. Asante.
  3. BLACK MARXIST

    UTT AMIS vs DSE – Ni ipi bora kwa uwekezaji? Nisaidiane kufahamu

    Nje ya mada mkuu, unaweza kuni recommend nisome vitabu gani ili nipate uelewa zaidi juu ya uwekezaji hass katika masoko ya Hisa kama DSE. Kutokana na Jibu lako nahisi unaweza kuwa na uelewa wa haya mambo. Asante.
  4. BLACK MARXIST

    Mzee Makamba Pole sana

    Well said, umefikiri kama ninavyofikiri, nadhani Makamba watampa position kwenye chao CCM. Huwa hawatupani moja kwa moja hawa watu.
  5. BLACK MARXIST

    Katarama mnawahi wapi?

    Unakuta Boss Amran(Ally's) mweyewe hana hata habari ila wapambe sasa? Kuna kitu kinaitwa Unazi ni yale yale ya Usimba na Yanga, nchi ya ovyo sana hii.
  6. BLACK MARXIST

    Miaka 60 ya Polisi: FFU waonesha namna ya kukabiliana na maandamano

    Hii nchi aisee! Kwa hiyo CDM wanapigwa bit sio?
  7. BLACK MARXIST

    Wangapi tunahitaji kufahamu ukweli juu ya huyu binti?

    GREAT MINDS discuss ideas AVERAGE MINDS discuss events AND SMALL MINDS discuss people the last group will never move from where they are will remain stagnant and if they move it will be backward.
Back
Top Bottom