Recent content by BLACK MARXIST

  1. BLACK MARXIST

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Habari wazee, nataka nihame 22bet sababu ya kodi na pia baadhi ya ligi ndogo ndogo huwa hawaweki mechi, Je ni kampuni gani nzuri especially upande wangu wa basketball.?
  2. BLACK MARXIST

    Kwanini CRDB hutoa gawio dogo?

    Mwaka huu wanatoa 32Tsh tofauti na mwaka jana ilikua shilingi 22. Kama sikosei.
  3. BLACK MARXIST

    Mtoto wa Rais Museven afikishwa mahakamani kwa kuutaka Urais wa Uganda

    Nimefollow account yake huko Twitter, hamna kitu huyo jamaa hata sera zake ni za ovyo kabisa. Museven kakosa mrithi mwingine?
  4. BLACK MARXIST

    Naona hili linazidi umri wangu

    Sasa hii guilty consciousness inatoka wap kama uliweza kuendelea kupiga tako mpaka kukojoa?
  5. BLACK MARXIST

    Naona hili linazidi umri wangu

    Nataka kujua baada ya dogo kuondoka mliendelea na mtanange au mlikatisha?
  6. BLACK MARXIST

    Kuna mtu anataka kununua Twitter account yangu

    Duuh! Nina akaunt nilifungua 2009, ngoja niifatilie.
  7. BLACK MARXIST

    Video: Kilio cha Mfanyabiashara wa Soko la Karume aliyeunguliwa bidhaa zake kinafikirisha

    Yes itafute namna ya kutoa taarifa watu waondoke na mali zao.
  8. BLACK MARXIST

    Video: Kilio cha Mfanyabiashara wa Soko la Karume aliyeunguliwa bidhaa zake kinafikirisha

    Nadhani serikali iwe inatoa taarifa hata siku moja kabla ya tukio.
  9. BLACK MARXIST

    Prof. Mkenda, mtoto wa mwaka mmoja anakwenda shule kutafuta nini?

    Haya yote yanatokana na mwanamke kuingilia majukumu ya mwanaume na mwanaume kupuuzia baadhi ya majukumu yake.
Back
Top Bottom