nadhani ikitolewa taarifa watu kutembea bila nguo akina haki sawa watakuwa wa kwanza kulifurahia kwani kwa sasa ni kama wamenyang'anywa HAKI YAO NDIO MAANA WAKIBANWA HULALAMA KUNYIMWA UHURU
kafanya kazi nzito ya kutikisa miembe muda mzuri vijana waokote baadae unaingilia kiwanda cha kusindika matunda; mtaumia miaka hii mitano ya mwanzo mtajuta kumjua JPM
posti hizi zingine yaani zinachefua sn lkn ndo hivo kutifautiana, mtu analesseni ya kuendesha bar na watu kujiuza kweli! hiyo akili au matope, kwavile analeseni basi biashara ya kujiuza ruksa, akitokea mtu kuchukua hatua huita mpenda sifa; hizi ni siasa za kijinga na ni upuuzi.
kuona kwa urefu wa pua ndio kunatuponza, mshindani wako anawaza miaka mia ijayo ww unahoji anachofanya leo, utabakia manager maisha yako yote huku mwenye mali ukifuata maagizo yake.
waingereza hawapendi kusifia mchezaji wa kigeni wakimsifia basi kawatenda.Adakadabla ni mtendaji cazola ni mzuri lkn sio type yake au la utake umpandishe tu nae asikike
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.