Recent content by Black Beast

  1. Black Beast

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Na iwe hivyo japo tarehe 21 ni ngumu
  2. Black Beast

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Huu mwezi umenikamata nyeti aisee makato bado hukoo
  3. Black Beast

    JamiiForums Tanzania Boss acha dharau mshahara wa milioni moja na nusu kwa mwezi nafanyia nini?

    1.5 M ni pesa ndogo kwa watu mnao feki maisha. Mtu makini hiyo pesa inamtoa kabisa kwenye shida Gavoo hiyo unapata mkopo wa 35M kwa ajili ya business yenye kuingiza 50,000-70,000 kila siku. Baada ya 7 years unaacha kazi kabisa Net salary yangu haifiki 500k Ila kwa wiki naingiza 800k...
  4. Black Beast

    JamiiForums Tanzania Dalili 5 zinazoashiria uwepo wa nguvu za giza katika nyumba unayoishi

    Hapo mengi yanatokana na kukosa afya ya akili namba moja linasababishwa na kuoa kwa kutimiza wajibu na sio kwa sababu mna compliment each other.
  5. Black Beast

    JamiiForums Tanzania Hongera BASATA kwa kuua Vipaji na Wasanii, Je, Chini ya Makonda, Sanaa itainuka tena?

    BASATA si wanafanya kazi online siku hizi mkuu maofisini hakuna kazi unajisevia online acha walale Infact ofisi nyingi za serikali sasa zinatumia mifumo hivyo watu wengi hawana kazi
  6. Black Beast

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke haeleweki

    Najua ni wewe mtoa mada ndio mwenye huu mkasa lakini fanya hivi 'Usijaribu kumrudia huyo binti' otherwise utalia na kusaga meno Mungu amekuonyesha njia ifuate
  7. Black Beast

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Int. Auditor II
  8. Black Beast

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Daaah pole mkuu haya mambo bwana yamekaa zigzag kweli mimi nilipigwa chini LGA nimejikuta City centre kutokea database but all is well kikubwa kuanza kazi ramani zitajiseti.
  9. Black Beast

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Daah aisee kweli Mungu mkubwa jamaa alikuwa anaomba connection ya kazi jioni hii hii na kapata placement
  10. Black Beast

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ni sahihi
  11. Black Beast

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sasa mkuu umejuaje mimi nipo halmashauri na kwanini uwadharau halmashauri daaah ebwana eeh
  12. Black Beast

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana mkuu karibu utumishi wa uma
  13. Black Beast

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    [emoji23]
  14. Black Beast

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sio kwamba itanikamua mkuu wangu
  15. Black Beast

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Eeeeh nimeamua kurejea kifungu cha toshekeni na mishahara yenu mkuu
Back
Top Bottom