Recent content by Black Beast

  1. Black Beast

    Huyu mwanamke haeleweki

    Najua ni wewe mtoa mada ndio mwenye huu mkasa lakini fanya hivi 'Usijaribu kumrudia huyo binti' otherwise utalia na kusaga meno Mungu amekuonyesha njia ifuate
  2. Black Beast

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Daaah pole mkuu haya mambo bwana yamekaa zigzag kweli mimi nilipigwa chini LGA nimejikuta City centre kutokea database but all is well kikubwa kuanza kazi ramani zitajiseti.
  3. Black Beast

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Daah aisee kweli Mungu mkubwa jamaa alikuwa anaomba connection ya kazi jioni hii hii na kapata placement
  4. Black Beast

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sasa mkuu umejuaje mimi nipo halmashauri na kwanini uwadharau halmashauri daaah ebwana eeh
  5. Black Beast

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana mkuu karibu utumishi wa uma
  6. Black Beast

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sio kwamba itanikamua mkuu wangu
  7. Black Beast

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Eeeeh nimeamua kurejea kifungu cha toshekeni na mishahara yenu mkuu
  8. Black Beast

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    potelea pwete mkuu hii subaru xt itaniua
  9. Black Beast

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wadau naombeni ushauri tangu nipate placement kila saa akili inawaza SUBARU XT 2009 najaribu kufuta mawazo hayatoki nimejaribu kunywa beer nisahau ila ndio inazidi kunijia karibu zaidi.
  10. Black Beast

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Legend mwingine ameula hongera bwana mfwende sawadogo karibu Utumishi wa uma .
Back
Top Bottom