utumishi kwenye web yenu kuna picha ya dada ana taiti nyekundu naombeni muitoe mnatupa stress za kazi na mapenz maaaaamaaaaaaaaae:ALERTA::ALERTA::ALERTA::ALERTA:
halafu uyu aliyeachia ushuzi atakua ndo mke wa mkuu wa majesh uyu.najaribu kuvuta picha ingetokea TZ hii sasa hivi bendera ingekua inapepea nusu mringoti.:Alarm::Alarm:
Tangu dunia iumbwe sijawahi kuona watumishi wa makanisa ya kiroho wametenga hata jumapili moja kutembelea mahospitalini kufanya miujiza ya kuponya wagonjwa kule.
Mie nahisi kuna jambo nyuma ya pazia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.