Recent content by bjhjhj

  1. bjhjhj

    Mungu kama upo unapaswa kuniomba msamaha

    kwenye bao mlikua kama milioni kumi hivi we ndo ukajidai unambio kuliko wenzako
  2. bjhjhj

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    utumishi kwenye web yenu kuna picha ya dada ana taiti nyekundu naombeni muitoe mnatupa stress za kazi na mapenz maaaaamaaaaaaaaae:ALERTA::ALERTA::ALERTA::ALERTA:
  3. bjhjhj

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    kuna pdf wamelifuta naskia wamechukua mpaka walioishia practical waliofanya juzi
  4. bjhjhj

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    biharahumuro wametema uko kaongezeni mareceived au hampendi ndizi:AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo:
  5. bjhjhj

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    kwema wazee wa wangingombe:ALERTA::ALERTA:
  6. bjhjhj

    Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

    halafu uyu aliyeachia ushuzi atakua ndo mke wa mkuu wa majesh uyu.najaribu kuvuta picha ingetokea TZ hii sasa hivi bendera ingekua inapepea nusu mringoti.:Alarm::Alarm:
  7. bjhjhj

    Watumishi makanisa ya kiroho muwe mnaenda na mahospiltali kufanya miujiza msitufanye wajinga

    yaani wabongo tumekua na vichwa vizito mno aisee. haya kiboko ya wachawi kadhihirisha kila kitu lakini waaaapi
  8. bjhjhj

    Watumishi makanisa ya kiroho muwe mnaenda na mahospiltali kufanya miujiza msitufanye wajinga

    Tangu dunia iumbwe sijawahi kuona watumishi wa makanisa ya kiroho wametenga hata jumapili moja kutembelea mahospitalini kufanya miujiza ya kuponya wagonjwa kule. Mie nahisi kuna jambo nyuma ya pazia
  9. bjhjhj

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    :AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo...
  10. bjhjhj

    KERO Nimeomba clearence certificate polisi, mwezi wa nne sijapewa

    yaah nilifanya ivo nilipewa na control number nikaambiwa ikiwa tayar nitaiona baada ya kuingiza izo namba
Back
Top Bottom