du kwel nimeamin kujua kusoma na kuandika na kutumia computer si kigezo cha mtu kutokuwa wendawazimu, ishu mzito kama hii kwel unaweza kutania kama sio ulimbuken wa kupata nafas na muda nini
jamaa wa dawasco alikwenda kwa b mkora kudai bili ya maji mambo yakawa kama ifuatavyo:
MTOTO: mama kuna baba yupo hapo nje ameleta bili ya maji
BI MKORA: mwambie kama hiyo bili ni maji ya mvua anisubiri nakuja kwa sababu jana ilinyesha LAKINIIIIIII
kama ni ya maji ya dawasco muulize kama amevaa...
problem that is a business, so huku who wil goin to pay him? sababu kaz anayofanya sio ndogo na si kaz ya bure na sidhan kama anavyotuhabarisha anaangaliaga tu upande mmoja if yes ur welcom if no tusubiri tu litaruhusiwa, time is a cure for everything
sijui unamaanisha furaha ya nini? bt i do hope ya hao mabintizzzzzzz
HIYO SI FURAHA MAN, NI UBATILI MTUPU, COZ HATA MFALME SUILEMAN YY ALITEST EVERYTING BT MWISHO WA SIKU ALIKIR MVINYO,WANAWAKE,MALI HAVIKUWEZA KUMLETEA FURAHA HATA KIDOGO.
iv tuseme ni kwel everythin aliichosema its true, ukijumlisha inaweza ikafika how much, i do hope around 700m na mazagazaga yote hadi na vinywaj chakula vocha etc
sasa ww ukitajiwa fisad mmoja tena tena kama ni top 100 ni wa 100 hela ambazo amekula sidhan kama utarud tena huku, umeshauliza biz...
hapo ndio umekosea kabsaaaaaaa bora usingechangia ki2, kwanza kama ni utamaduni mbona ni jamii flan iv, hiyo kwa ufupi ni TIGO RUSHAAAAA haina utamaduni ushamba tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.